Tumshauri Zitto...

Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.
Sio nidhamu Kusema wakubwa wake Kama vp aanzishe Chama CHAke awe yeye kiongozi asitukate MOto CDM baba Lao akae pembeni
 
Watu hatupendi mtu watu tunapenda CDM Kama vile watu wanavyopenda pesa ila pesa haziwapendi Kama zito
 
Wote wanaosema hawapendi watu ni waongo, walikuwa wapi mwaka 1993 zitto alipojiunga Chama? Wengine wameingia Chadema baada ya mbowe kuwa mwenyekiti kwa kuwa ni Mchaga mwenzao huo ndio ukweli japo unauma.
 
Kama wafuasi na Zitto mwenyewe wanaona ni maarufu kuliko CHADEMA,kujikomba kwa chama chakavu ili muwe na uhuru zaidi na kufaidi mengi ya ccm...anzisheni chama chenu kitakachoitwa chama cha Demokrasia na Usaliti(CHADUSA).TUMECHOKA.
Zitto mnamuona kama mungu mtu ee? Huyu ni msaliti,ana tamaa ya madaraka nk.Eti amekata rufaa,kwa ajili gani? Huku sikung'ang'ania madaraka? Aende zake Mwandiga akauze mawese na kuvua samaki. Tumemchoka.
Wafuasi wa ZZK anzisheni chama chenu ili muwe maarufu zaidi. Kwa nini mnang'ang'ania CDM?
 
mmechoka kwan chama mlijenga peke yenu,nyie na babu wenu mkute tumecha jenga chama mlete mageuzi.zitto atakuwa wa mwisho kutoka chadema
 
unakumbuka ubakaji wa kapuya,uuaji wa ccm,watu kulazimishwa kufnya mapenzi na mti? Hii iko ccm tu. Pole sana gamba

Nakumbuka matumizi mabaya ya ruzuku kwa kiongoz kulipwa mil7 kupora wake za watu,Kuruhusu gongo,Matumiz mabaya ya kodi za wananchi kwa kuamrisha mbunge aende dubai kwa matumiz binafsi.
 
kweli yaani ningekuwa mwenyekiti au katibu ningemaliza hii biashara fasta.......
 
Nakumbuka matumizi mabaya ya ruzuku kwa kiongoz kulipwa mil7 kupora wake za watu,Kuruhusu gongo,Matumiz mabaya ya kodi za wananchi kwa kuamrisha mbunge aende dubai kwa matumiz binafsi.

Unasemaje aliyekwenda nje ya nchi kubembea? Aliulizwa kwa nini Tz ni maskini? Hata hajui.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom