Tumshauri Zitto...

Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.
ni lini na ni wapi zitto ameshindwa kuwaheshimu viongozi wake?

Ni lini na ni wapi zitto ameshindwa kuwa mtiifu kwa chama chake?

Zitto ni mtiifu kwa chama,viongozi na wanachama na ndio maana ana wavumilia mkimtukana, zitto amzungumzii mtu jukwaani lakini hao so called viongozi ndio wanamzumzia kila leo na anawavumilia.

Zitto hawezi kuwazui watu kumsifia au kumpenda maana matendo yake ndio yanawafanya watu wampende hata wa ccm hasa kwa uzalendo wake.
Hata ccm wamekuwa wakimsifu mnyika refer to lukuvi na makinda.

Tatizo chadema mnachukulia siasa kama vita ndio maana hata kizuri hamtaki kisifiwe.

Ni lini na ni wapi zitto alisema yeye ni zaidi ya chadema?
Sisi tunae muona uwezo wake ndio tunaona yeye ni zaidi ya chadema.

Mimi nafikiri wewe ndio una hitaji ushauri.
teh teh, lini anawaheshimu viongozi wake? Je kupokelewa mabango yanawatukana viongozi wa chama na chama ndo kuheshimu na kutii viongozi na chama? Huu ni zaidi ya unafiki!
 
Kwa hili la mapinduzi ndani ya chama kakurupuka mjomba!

unajua maana ya mapinduzi au ndo unautumia uhuru wa kuongea.

kunatofauti kubwa sana kati ya revolution and reform.
mbowe na slaa wameingia choo cha wenzetu.
 
Kama ni hivyo basi pia ni mpuuzi, maana uongozi ni pamoja na kusikiliza ya wengi japokuwa binafsi ungefanya tofauti
 
Naona mweshimiwa umekuja na acount nyingine haaahaaahaaaa hongera kwa mkutano ulio fanya nyumbani kwenu kigoma.
akili yako ndio mwisho wake kufikiri umeishia hapo ok angalia kiganja chako chamkono hata akili zipo hivo
 
Can you do what you believe isn't right? Or you do what other people believe is right? Stpd! maringo7
 
Last edited by a moderator:
akili yako ndio mwisho wake kufikiri umeishia hapo ok angalia kiganja chako chamkono hata akili zipo hivo

wewe mwenye uwezo wa kufikiri unataka someone to do what other people think is right? Nini nafasi yako katika maamuzi yako, maamuzi yako akufikirie nani? Is that what u blv is stronghood! One of the foolish thread to be postd in jf
 
maringo7 rekebisha heading. Neno sahihi ni He doES na siyo he do. Ongeza es
 
teh teh, lini anawaheshimu viongozi wake? Je kupokelewa mabango yanawatukana viongozi wa chama na chama ndo kuheshimu na kutii viongozi na chama? Huu ni zaidi ya unafiki!

kwa hiyo vijana wa bavicha wanavyo mtukana zitto huwa wanakuwa wametumwa?
 
Huyu dogo zito anakiharibu chama chenu
kawaaminisha watu wa Kasulu na Kigoma eti hana ubaya na chama
Chama ndio kuna ubaya na Zito
najiuliza chama kilimtuma akihujumu chama?
Kilimtuma ataka kujiuzulu badala yake akangolewa?
Huyu dogo na hao aliowanunua waongee leo star tv ni janga kwa chadema
Na star tv wanasema ziraya ya Zito ni kujibu mapigo ya dr slaa
kwani hawa watu ni vyama tofauti???
Zito must go to save CHADEMA
 
Zitto anahitaji kushauriwa kuwa kama anapenda kuwa mwana CDM kwa dhati, afanye mambo yafuatayo:
  1. Awaheshimu viongozi wake.
  2. Akemee wana CCM wanaotamani CDM kusambaratika.
  3. Aheshimu chama chake kama ambavyo kina Mwigulu wanavyokuwa watiifu kwa CCM yao.
  4. Awe makini na wanaomsifia hasa vyombo vya CCM na serikali
  5. Awaambie watanzania kuwa yeye si zaidi ya chama;

Mengine mnaweza kuongeza.

mnahangaika sana,,,hayo yote manne anayafanya kila siku,,naona sasa bora muwashauri wale wanaotumia RUZUKU NA FEDHA ZA CHAMA HOVYO wakipende chama coz kula fedha za chama ni kukichukia chama. Je umewahi kuwashauri au ndio watangaza neno la kinafiki kama afanyavyo msigwa?????
 
Zito anapambana na watu waliofanikiwa badala ya kujifunza kwao.

kisiasa ndani ya chadema unaweza kumuweka kundi moja pengine labda na Dr Slaa hao wengine Zitto saizi ya mbuyu hao wengine mchicha
 
mbona viongozi wa chadema wameshindwa kumweshimu zitto?

Wewe ktk familia yako ni MZIGO, CDM ni CHAMA kina katiba, kanuni, miongozo na taratibu zake ilizojiwekea kwahiyo unachotakiwa ni kufuata hiyo katiba na miongozo ya chama.
Naanza kurudi darasani tena, jamani JK tuonee huruma na MIZIGO hii unayotubebesha.
 
Daah hiki kitu watu roho zinawauma sana.
1507044_635967833131958_1665074636_n.jpg
 
Nimejaribu kufuatilia mijadala mbali mbali humu ndani, nimejiuliza swali hilo hapo juu. Je, Chadema itakufa Zitto akifukuzwa uanachama? Katika mijadala mingi ukiisoma unaona kwamba kuna mgongano tu wa mawazo kwa vyama hivi viwili vinavyokimbizana kwenye siasa zetu hapa nchini, CHADEMA na CCM. Wale wa CCM mijadala yao yote inamtetea ZITTO na kumuona kwamba bila Zitto hakuna CDM. Wale wa CHADEMA bado wana msimamo wao wa kwamba Zitto ni msaliti katika chama.

Hebu sasa tuache bias zote za vyama hivi viwili, hebu tuingie akilini sasa tujiulize kwa fikra pevu, ni kweli bila Zitto Chadema haipo?

Watu wameegemea kwenye misafara ya viongozi wawili walioenda Kigoma, Dr. Slaa na Zitto, lakini tukumbuke kwamba mmoja hajaitembelea Kigoma, ni mwenyeji wa Kigoma, ni mbunge kutoka Kigoma. Dr. Slaa alipata mapokezi makubwa, Zitto amepata mapokezi makubwa, nani anakubalika zaidi? Mgeni au mwenyeji?

Kwangu mimi ili nione kwamba CDM ni Zitto, aende Mwanza, Arusha, Moshi, Dar, Mbeya, Iringa nk. apate mapokezi makubwa hivi.

Umetisha kaka we ni mkomavu sana katika kuelewa mambo pia na kufafanua
 
Sikio la kufa cku zote halisikii dawa! na kusikia kwa kenge mpaka apigike damu imtoke mackion. So msimhangae zzk ni kichwa ngumu. Ataisoma namba baadae sana. Anajiamin et anaakir sana kuliko wana cdm wote!!!
 
Zito aelewe tu kuwa bado chadema ndio mahala pekee kwa sasa anapoweza kuweka msingi wa maisha yake ya siasa ya baadae. hakika akilogwa na wanomsifia kutoka nje ya chama na hata wale wanofanya fujo kwa kumshabikia anaweza kupotea kabisa kwenye medani ya siasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom