mmechoka kwan chama mlijenga peke yenu,nyie na babu wenu mkute tumecha jenga chama mlete mageuzi.zitto atakuwa wa mwisho kutoka chadema
Hana heshima, lakini anataka awe Mkiti wa CDM ili aheshimiwe!!!
ACHA UWONGO, katika kipindi cdm ilikuwa na nguvu ni baada ya 2005 hadi 2010...nguvu ya cdm ilitokana na AKILI nyingi za ZZK...kabouru kaachia madaraka 2006 kama sikosei..
Akifanya anachokita atapotea mazima.
Na atapotea na wengi
kiukweli inanikera pia inanikatisha tamaa.
Si mara moja kwa post zangu kufutwa ama kuunganishwa.
Inabidi moderators,paw,invisible na wahusika wengine waliangalie kwa mapana ili kulipa heshma jukwaa letu.
Kwa wingi wetu tunaanza kuamini mamoderators wapo upande flani na mlengo flani.
Zzk ni talk of the town I guess