Said Buko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 245
- 46
Wote hawa waliwahi kuwa wana CDM. Baadhi yao walikuwa na nguvu kama Zitto.
acha uongo, chadema haijawahi kuwa na mtu mwenye nguvu individual kama zzk,,,kukubalika kwake kwa waTZ,umahiri wake wa kujenga hoja si wa kufananisha na hao wengine...BILA KUUSEMA UKWELI mtaendelea kuwa misukule