The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
Hahahaha haswaa,haiwezekani umtunze binti yako ,matibabu na huduma kama zote afu aje at.ombwe na liuza mkaa,ama lichovu flan ni kuharibu kizazi na ukoo hahahahah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na hili ni fundisho hata kwa sisi binadamu mwanamke mwenye matunzo hatakiwi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume wa hovyo hovyo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kamtupe mbali huko porini,kwanza unafugaje mipaka home,inakuwaga mipepo hiyo.Anamgegeda anamlisha yeye? Nampa sumu akafie mbali huko
Ni jukumu la mwanamke kumhudumia mkewe,kwani yeye ni baba,kichwa Cha family,kiongozi na kama msemavyo mwanaume ni kila kitu,so mtoa comment yuko sahihi.Umekaa kijasiriamali mkuu,si ajabu mwanaume utakayekuja kuwa naye akaishia kuvaa suruali moja tu...majukumu yatakuwa mazito
Hiyo nature inakutaka wewe kama mwanaume kuprovide kwa mkeo na family kwa ujumla,ukililia kusaidiwa majukumu na mkeo ujue uanaume wako una kasoro hahahahahEndelea kulamba lamba ndimu kwanza ukijifungua uniambie
Labda wanaume wa huko kwenu Dar kama Hawa
Halafu wanawake mnajiona too special
Hapo hapo mnataka 50/50
Hahahaha haha mtasubiri Sana labda mkojoe mkiwa mmesimama
Hauwez kushindana na nature (asili)
Utaumia ww shaur yako
Utaumia mwili, roho, na nafsi View attachment 1131509View attachment 1131511
Wewe binafsi unawatafuna wanawake wangapi kwasasa?manake unasema wanawake wako wengi .Tuambie wewe unao wangapi unaowamudu?hahahah usipanic weka facts mezanSasa Kati ya wanaume na wanawake nan anataka haki Sawa??
Kwa sababu mnataka haki Sawa Basi tunawaachia na majukumu yetu tuliyo kuwa tunafanya ili tufanye wote!!
Sasa hapo siwez kukuhudumia kama mwanzo kwa sababu ushaingilia nafas yng
Kila mtu apambane na hali yake
Mbona Mtanyooka tuu tulieni
Hamuoni na wanaume nao wanataka kuolewa kama ninyi
Kuvaa heren, kusuka raster
Mbona kitaeleweka tuu
Halafu Mlivo wengi hivi wanaume halisi tutabaki wachache Sana tukiendelea kuwatafuna wale wanawake wanaojielewa
Unadhani kila mtu limbukeni kama wewe? Kweli masikini akipata mataka hulia mbwata.Sema nikutumie ticket uje hapa Copenhagen capital city of Denmark
Nikulishe hadi utakapo amua kuondoka
Sishangai hata passport huna
Hilo ondoka Shaka nita process mwenyewe hadi upate uje uonje flavor ya Denmark
Acheni huyo paka atombwee tu.
Kabisa hii inawafanya wanaume wanaacha kutafuta pesa kwa bidii zote ili watimize majukumu yao matokeo yake wanawaza kuja kutafuta wanawake ambao wametoka kwenye familia zenye unafuu ili hao wanaume nao wapate mteremko kupitia pesa za watu wengineHahahaha haswaa,haiwezekani umtunze binti yako ,matibabu na huduma kama zote afu aje at.ombwe na liuza mkaa,ama lichovu flan ni kuharibu kizazi na ukoo hahahahah
Miss Natafuta una wivu mbaya sana aise... Nilidhani wivu wako umeishia kwa yule msichana wako wa kazi ambaye hutaki apigwe mkitu, sasa naona wivu umeingia hadi kwa Paka.... Dah una pepo la wivu wewe.Nyumbani tuna paka jike.
Kwa vile tuna watoto wadogo na wanapenda kumchezea tukaona isiwe mbaya tumgharamie kumpeleka vet clinic kwa check up,kumkata kucha ,madawa etc
Tatizo ni kwamba anashiriki kimwili na paka wa jirani ambae yeye Hana matuzo kwaiyo anamuweka paka wetu kwenye risk hence watoto!
Je tumpe sumu afe?
Kwangu tunaishi kama watawa hakuna kupigwa mbooro hapaMiss Natafuta una wivu mbaya sana aise... Nilidhani wivu wako umeishia kwa yule msichana wako wa kazi ambaye hutaki apigwe mkitu, sasa naona wivu umeingia hadi kwa Paka.... Dah una pepo la wivu wewe.
Kwani kila mwenye matunzo ni geti kali? Na kila geti kali ana matunzo?Wa geti kale
Valisha condom tu Maana hamna namna tena, mbooh haichukiwiKwangu tunaishi kama watawa hakuna kupigwa mbooro hapa
Valisha condom tu Maana hamna namna tena, mbooh haichukiwiKwangu tunaishi kama watawa hakuna kupigwa mbooro hapa
Utamuambia mlikua mnacheza-cheza tuNabebanaje na mpaka ? Jirani akinikamata je?
Ikatokea mume akapata ajali na kupoteza mikono,je hutamjali?Ni jukumu la mwanamke kumhudumia mkewe,kwani yeye ni baba,kichwa Cha family,kiongozi na kama msemavyo mwanaume ni kila kitu,so mtoa comment yuko sahihi.
Ahahaaaa kavu tamuuValisha condom tu Maana hamna namna tena, mbooh haichukiwi