TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

Mkuu mbona sioni application search button
mmmm.png

chek hyo pic hapo
 
Mkuu Chris41
Nimejaribu kudownload, lakini computer yangu inapop up window hii:
TO RUN THIS APPLICATION YOU MUST FIRST INSTALL ONE OF THE FOLLOWING VERSSION OF THE.NET FRAMEWORK:
V2. 0.50727
V4.0
Contact your application publisher for instruction about obtaining the appropriate version of the. NET FRAMEWORK.

Ninini mbaya na computer yangu?
 
Last edited by a moderator:
mambo ya msingi ya bila kusahau. ni lazima uwe na google account (gmail account) kwani ndo itaunganishwa na pc yako.
pili wakati wa kuunganisha whatsapp na simu yako ni lazima simu yako iwe hewani. utatumiwa verification code.
ikishindikana type namba ya simu yako kisha iruhusu kupigiwa (yaani utabofya kitufe ili simu yako iite) ikiita upokee, itasikia mdada anasoma verification code ziandike kwenye sehemu ya kutye verification code then endelea,.

hebu fuata tutorial hii ukishindwa sehemu ni pm au nimention ( andika @%mnyongeni, bila % ) ili kunimention, nitaiona nakukusaidia.

natumaini MALISA92 umenielewa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Chris41
Nimejaribu kudownload, lakini computer yangu inapop up window hii:
TO RUN THIS APPLICATION YOU MUST FIRST INSTALL ONE OF THE FOLLOWING VERSSION OF THE.NET FRAMEWORK:
V2. 0.50727
V4.0
Contact your application publisher for instruction about obtaining the appropriate version of the. NET FRAMEWORK.

Ninini mbaya na computer yangu?

hiyo kama imezingua,,, try hii hapa mkuu inaitwa youwave haina mbwembwe hii ipo simple zaidi unaweza pia fanya yote ya kweny android link hii hapa: YouWave, Android on Windows PC

muonekano wake upo hivii
mmm.png mmm.png
 
Mkuu,
Nimefikia hatua hiyo, lakini cha kushangaza ni kwamba ICON ya Whatsapp pekee ndio haipo!
Hizo zingine zote zipo!...nimejaribu kuingia kwenye help na kuwweka, lakini hiyo icon haionekani!

Hyo icon hauikuti,,, nenda kwenye browser open google,, search whatsapp then download whatsapp... I mean hzo app nyingne had udownload,,,,
 
mambo ya msingi ya bila kusahau. ni lazima uwe na google account (gmail account) kwani ndo itaunganishwa na pc yako.
pili wakati wa kuunganisha whatsapp na simu yako ni lazima simu yako iwe hewani. utatumiwa verification code.
ikishindikana type namba ya simu yako kisha iruhusu kupigiwa (yaani utabofya kitufe ili simu yako iite) ikiita upokee, itasikia mdada anasoma verification code ziandike kwenye sehemu ya kutye verification code then endelea,.

hebu fuata tutorial hii ukishindwa sehemu ni pm au nimention ( andika @%mnyongeni, bila % ) ili kunimention, nitaiona nakukusaidia.

natumaini MALISA92 umenielewa

Asante sana...!nitafanikisha huo mzigo fasta.
 
Last edited by a moderator:
msaada. mimi nime download kabisa hiyo bluestack lakini niki install inasima intall fail so please kama mtu anayo blustack installer ai attach arafu nita i download
 
Mkuu Chris41
Nimejaribu kudownload, lakini computer yangu inapop up window hii:
TO RUN THIS APPLICATION YOU MUST FIRST INSTALL ONE OF THE FOLLOWING VERSSION OF THE.NET FRAMEWORK:
V2. 0.50727
V4.0
Contact your application publisher for instruction about obtaining the appropriate version of the. NET FRAMEWORK.

Ninini mbaya na computer yangu?

Mkuu fanya windows update, tatizo lako litakwisha. Inaonekana net framework ya computer yako ni outdated.
 
Last edited by a moderator:
Baadhi ya watu tumekua tukihitaji kutumia baadhi ya application kama whatsapp na instagram kwenye pc zetu kutokana na sababu tofauti,, pengine cm haisuport, au sim imeharibika kwa muda au pengine tunapenda tu... so ifuatayo ni program ambayo unaweza ukafanya yote hayo kwenye pc yako,, yaan app zote za android unaweza kuzipata na kutumia kwenye pc yako....



View attachment 114383
hivi ndivyo inavyoonekana ,,, kuna sehem ya kusearch hapo juu ambapo unaweza kusearch any applichation and install.... lazima uwe na modem,, n hata wakt wakuinstall lazima uconnect na internet.... hapo ukishainstall whatsapp process nyingne za kawaida km kweny cm tu....enjoy instagram na whatsapp ht kama hauna cm...

Mkuu ndiyo ninayoitumia hapa, nina android apps kibao mpaka najihisi sitamani kununua simu ya android OS
 
msaada. mimi nime download kabisa hiyo bluestack lakini niki install inasima intall fail so please kama mtu anayo blustack installer ai attach arafu nita i download

Hlo N tatzo La Graphics Driver!!

Solution n Ku install graphic Driver !! ila Uzuri wake Bluestack ina Close substute [youwave ] so kama inakusumua hamia Youwave ila bluestack ina kamvuto kake!!
 
Hlo N tatzo La Graphics Driver!!

Solution n Ku install graphic Driver !! ila Uzuri wake Bluestack ina Close substute [youwave ] so kama inakusumua hamia Youwave ila bluestack ina kamvuto kake!!

YouWave haiko poa kama bluestacks kaka, hata kwa visual impression na user friendliness
 
Wadau, naomba mnisaidie hapa, nataka ku install whatsapp kwenye computer yangu, nilipata maelekezo kuwa nidownload bluestacks then nifanye installation ikishamaliza ndio nitakuta hiyo program ya whatsapp, nimefanya hivyo lakini sikufanikiwa ku install hiyo bluestacks, kwani inaishia tu kusema "bluestacks is installing........" inagomea hapo mpaka kunakucha, tatizo ni nini naomba msaada wenu
 
Hiyo program ina size kubwa.ukitumia vibundle vya janja night vyilivyobanwa bandwith hutofanikiwa
tumia high speed net
 
ebana mimi ninatumia bluestack, nili-download whatsapp na ninaitumia vizuri, ila nahitaji kubadilisha user account ila sioni sehemu ya kufuta account, pia nikiiona nikifuta inarudi, kufuta bluestack issue, kwani mb karibia 300, what to do waungwana?
 
Hivi hii youwave inaweza ku-run kwa min laptops za ram 1gb, kama hizi aspire one series. Maana nshajaribu sana bluestack bt huwa inadai ram iwe above 2gb, how about youwave C6 & chief-mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Hivi hii youwave inaweza ku-run kwa min laptops za ram 1gb, kama hizi aspire one series. Maana nshajaribu sana bluestack bt huwa inadai ram iwe above 2gb, how about youwave C6 & chief-mkwawa

hata youwave inahitaji 2gb ram maana inashare ram since ni virtual os zitagawana ram na os iliyopo... mfano windows itakula 1gb na yenyewe 1gb...
 
Last edited by a moderator:
hata youwave inahitaji 2gb ram maana inashare ram since ni virtual os zitagawana ram na os iliyopo... mfano windows itakula 1gb na yenyewe 1gb...

JANGA HILO! Acha tukomae na jf parallel na fb. Whatsapp tuwaachie mabinti hasa hawa first year. Maana ukimgusa tu anakuuliza una whatsapp? wakat kwao kazoea pen na karatasi! CC gfsonwin and Smile with FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom