npaka Uidownload..... kwani Umeinstall Youwave Au Bluestack??
Jinsi ya kutumia whatsapp kwenye youwave (MAELEKEZO)
1. INSTALL YOUWAVE, WEKA NA CRACK, UKISHAMALIZA START YOUWAVE
>>>>>>>>>Download YouWave Hapa<<<<<<<<<<<<<<<<
2. UPANDE WA KUSHOTO CLICK VIEW > ONLINE CONTENT
![]()
3. KWENYE ONLINE APPS CHAGUA WHATSAPP (DOUBLE CLICK) ITAANZA KUDOWNLOAD WHATSAPP KISHA ITAINSTALL, ILA KAMA UNAYO WHATSAPP.APK KWENYE PC UNAWEZA KUINSTALL DIRECT, BAADA YA KUINSTALL CLICK MENU BUTTON YA ANDROID YAKO
![]()
4. UKIFUNGUA ANDROID MENU YAKO UTAONA APPS, FANYA KAMA UNASWIPE KWENYE SIMU YAKO (HOLD KISHA DRAG ILI UPATE APPS ZAIDI)
![]()
5. DOUBLE CLICK WHATSAPP NA UANZE SETUP YA WHATSAPP
![]()
6. VOILAAAAAAAAAAAAA, U DONE , HONGERAAA
![]()
Ukisha insall bluestack, ingia kwenye google play install go launcher ex, itaifanya hiyo bluestack iwe na mwonekano mzur wa android kama za cm, bt kunakua hakuna mwingiliano wwte kati ya pc na bluestack mfano ukitaka kutuma picha kwa kutumia watsapp na kama hiyo picha imo kwenye pc, inatakiwa ui install dropbox kwenye pc yako.
Jinsi ya kutumia whatsapp kwenye youwave (MAELEKEZO)
1. INSTALL YOUWAVE, WEKA NA CRACK, UKISHAMALIZA START YOUWAVE
>>>>>>>>>Download YouWave Hapa<<<<<<<<<<<<<<<<
2. UPANDE WA KUSHOTO CLICK VIEW > ONLINE CONTENT
![]()
3. KWENYE ONLINE APPS CHAGUA WHATSAPP (DOUBLE CLICK) ITAANZA KUDOWNLOAD WHATSAPP KISHA ITAINSTALL, ILA KAMA UNAYO WHATSAPP.APK KWENYE PC UNAWEZA KUINSTALL DIRECT, BAADA YA KUINSTALL CLICK MENU BUTTON YA ANDROID YAKO
![]()
4. UKIFUNGUA ANDROID MENU YAKO UTAONA APPS, FANYA KAMA UNASWIPE KWENYE SIMU YAKO (HOLD KISHA DRAG ILI UPATE APPS ZAIDI)
![]()
5. DOUBLE CLICK WHATSAPP NA UANZE SETUP YA WHATSAPP
![]()
6. VOILAAAAAAAAAAAAA, U DONE , HONGERAAA
![]()
kiukweli nimeweza ku-download na mzigo uko tayari, mm ni mgeni kidogo kwenye whatsapp! sasa kuna kitu kinanichanganya hapa, nita add vipi friends ambao wako kwenye whatsapp? mi mbona niki-scroll down hapa juu pananiambia no service? mm natumia modem ya airtel lakin namba nloijaza na kutumiwa zile code za whatsapp ni namba yangu ya voda, je hili linaweza kuwa ndo tatizo la net? manake line nliofanya registration ni ya voda na iliyopo kwenye modem ni airtel! Mkuu C6 hapa vipi?
whatsapp unajisajili kwa namba yoyote, na unaweza kutumia simu yenye namba ingine kuingia kwenye akaunti ya namba ingine...
mfano: ukisajili namba ya voda, afu simu yako ina mtandao wa tigo, haitakataa. itakubali tu.
ngoja nijaribu
kivipi broo? umesha install?nimedownload nimeshindwa kuitumia
Wanajamvi mimi ni junior user wa JF. sasa naombeni kama kuna anayejua namna kuistall what'sapp kwny Pc anisaidie. Natumia Hp compaq presario CQ43- window7 profesnal.
Asanten sana!