TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

JANGA HILO! Acha tukomae na jf parallel na fb. Whatsapp tuwaachie mabinti hasa hawa first year. Maana ukimgusa tu anakuuliza una whatsapp? wakat kwao kazoea pen na karatasi! CC gfsonwin and Smile with FaizaFoxy

mie hayo ma ngalikiki kitu gani cjui sinaga mwasho nayo.
mie kuna vitu ambavyo huwa nakubali kusema kwamba sivijui ama ni kishoka vitu hivyo ni computer na applications zake.
seriously sijui zaid ya microsoft na package zake hasa za statistics basi
 
Download App inaitwa Bluestack Kutoka hapa Run Mobile Apps on Windows PC or Mac with BlueStacks | Android App Player then Run Hyo app so Utakua na Access na Playstore so utaweza Kudownload App zote Ikiwemo Whatsapp Instagram, viber, tango, na nymgneee

ila Hyo App Ni ina Mb 8 tu ila inahtaji Specs kubwaaa
kwanza Ram Lazma Iwe 2gb Pia Graphic accelerator lazma ziwe Updated... So Kabla Ya Kudownload Na Kuinstall Fix Hzo kwanzaaa

Ngoja na Mimi nijaribu hii kitu. Asante mkuu
 
Inabidi uapdate driver inayokwambia hapo! Unaweza uka igoogle then ukaidownload from intel....sikumbuki vizur inaitwa vcard...
 
Hii kitu ina features flani za graphics ambozo pc yako inatakiwa kuwa nazo...
 
Baadhi ya watu tumekua tukihitaji kutumia baadhi ya application kama whatsapp na instagram kwenye pc zetu kutokana na sababu tofauti,, pengine cm haisuport, au sim imeharibika kwa muda au pengine tunapenda tu... so ifuatayo ni program ambayo unaweza ukafanya yote hayo kwenye pc yako,, yaan app zote za android unaweza kuzipata na kutumia kwenye pc yako....



View attachment 114383
hivi ndivyo inavyoonekana ,,, kuna sehem ya kusearch hapo juu ambapo unaweza kusearch any applichation and install.... lazima uwe na modem,, n hata wakt wakuinstall lazima uconnect na internet.... hapo ukishainstall whatsapp process nyingne za kawaida km kweny cm tu....enjoy instagram na whatsapp ht kama hauna cm...

Mkuu, me nimejaribu karibia mara ya nne leo but napata notification hii;
Error 25000. BlueStacks currently doesn’t recognize your graphics card. It is possible your Graphics Drivers may need to be updated. Please update them and try installing again.
Sasa kila ninapojaribu kuzi-update hizo drive (online) bado nazo hazikubali, je ni nini tatizo? Ni pC yangu au kuna kitu nakosea! Msaada tafadhari....
 
msaada wakuu nashindwa kuload bluestalk. nimedownload but inashindwa kuload nipate menu. natumia Samsung mini laptop.
 
msaada wakuu nashindwa kuload bluestalk. nimedownload but inashindwa kuload nipate menu. natumia Samsung mini laptop.
 
Yaani mnapokuwa mnaandika recurring posts za hivi usitegemee msaada mkubwa zaidi ya kukejeliwa tu na wana.
Topic hizi znajadiliwa humu kila siku,threads za WhatsApp zmekuwa hadi kero but still mnazidi kuzijaza.
Jifunze kuepusha usumbufu usio wa lazima.
 
Yaani mnapokuwa mnaandika recurring posts za hivi usitegemee msaada mkubwa zaidi ya kukejeliwa tu na wana.
Topic hizi znajadiliwa humu kila siku,threads za WhatsApp zmekuwa hadi kero but still mnazidi kuzijaza.
Jifunze kuepusha usumbufu usio wa lazima.

umeona nimeanzisha thread mpya au unaandika tu kwa kuwa huna cha kufanya?
 
Hlo N tatzo La Graphics Driver!!

Solution n Ku install graphic Driver !! ila Uzuri wake Bluestack ina Close substute [youwave ] so kama inakusumua hamia Youwave ila bluestack ina kamvuto kake!!

Bluestack ni nzuri ila kwa hizi pc zetu ita load hadi ushangae!! Youwave iko simple na haili memory kama bluestack.
 
Bluestack ni nzuri ila kwa hizi pc zetu ita load hadi ushangae!! Youwave iko simple na haili memory kama bluestack.

Jana imenicost over five hours to download runtime. sasa nikiifungua in a take time Sana kuload sijaweza ona hata menu.
so LORDVILLE niendelee kusubiria au?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi nimejaribu hapa, nimefanikiwa ku-download na installation pia, ila imekwama coz RAM yangu ni 1GB! daaah, nimeukosa huu huondo!
 
Back
Top Bottom