Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,645
- Thread starter
- #61
Hapana. Nadhani sheria za mikopo ni tofauti na ishu ya huyu mzungu,huyu mzungu hatukumkopa,tulimtaifisha .kwahiyo nadhani haiwezi kutumika sheria ya hiyo mikopo ya mortgage.
Hujaelewa. Hujanielewa.
Ngoja niulize kivingine.
Ushawahi kudaiwa hela, iwe na mtu binafsi au taasisi?