Tumezidi ushamba

İnashangaza sana, yani wameandaa maandamano ya kuilaumu serikali ya South Africa hali ya kuwa haihusiki na hili sakata la ndege yetu time will tell!

Walioandamana wanadhani na huko muhimili wa serikali umejichimbia zaidi kama ule wa kutokea magogoni.
 
Ni hivi;

Siyo kwamba sieleweki. Ni kwamba wewe na wenzako walio kama wewe ndo hamnielewi na sidhani kama mna uwezo wa kuelewa.

Mmeshazifunga akili zenu. Mnadhani ni lazima mtu awe na upande mmoja tu, basi.

Mimi sipo hivyo. Siangalii wala siegemei upande.

Nasimamia kile ninachokiamini na ninachokiona kuwa ndicho kilicho sahihi bila kuangalia rangi wala itikadi za vyama.

Hakuna ugumu wowote hapo katika kuuelewa msimamo wangu.

Kuhusu upokewaji wa ndege, ni ama umesahau au hujui. Kitendo hicho nilikiponda.

Sasa sijui hukuona au umeamua tu kuifunga akili yako.


Kusimamia kile unachokiamini jambo muhimu sana kwenye maisha, iwe kazini au binafsi lakini inaleta amani na utulivu wa akili.

Binafsi mtu au watu wakifanya jambo baya ntakosoa, hao hao wakifanya ipasavyo sitakua mchoyo wa kupongeza. Siwezi kuchukua upande nikasimamia maamuzi ya wengine.
 
Back
Top Bottom