Pole nilikuwa nataka kueleza kuwa gadhabu za watu wa nchi moja huonesha kwa kuandamana katika ubalozi wao. Wanaija walifanya huko kwao kuonesha kusikitishwa na mauaji ya wanaija na sie vijana wapo Sawa maana ndege yao imeshikiriwa sauzi hivyo kuandamana mbele ya ubalozi wa sauzi ni kutoa ujumbe (voice of the voiceless). Una jengine?Mauaji yanahusiana nini na ndege?
mi unanchanganya na hiyo picha..ebu rudisha ile ile nsije anza kukufata PM saizi
Tatizo tumefanya ununuzi wa ndege hizo kama moja ya mafanikio makubwa ya awamu hii. Hatujiulizi jirani zetu Kenya wanazo ngapi na kama wanapata faida.Kwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!
Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?
Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!
Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.
Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.
Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?
Tumezidi ushamba.
Unasahau huyu ni mtafuta k za bure hapa JF cc Mama Sabrina , si ajabu ni picha ya anayemmendeami unanchanganya na hiyo picha..ebu rudisha ile ile nsije anza kukufata PM saizi
Nadhani wana akili kukuzidiNimetizama Yale majinga yalivyokua yanaimba Yani unajua tuuh kichwani Ni upepo tuuh ,Yani unaweza tamani kuyanasa makelebu tuuh afu Ni wajinga 30 wanakuzwa Kama halaiki ya watu 10000,ule Ni ushuzi mtupu mngh!!!
usintishe babu...nacheza na transfoma huku daily sembuse hiyo tuuAisee usichezee kifo...
Pole nilikuwa nataka kueleza kuwa gadhabu za watu wa nchi moja huonesha kwa kuandamana katika ubalozi wao. Wanaija walifanya huko kwao kuonesha kusikitishwa na mauaji ya wanaija na sie vijana wapo Sawa maana ndege yao imeshikiriwa sauzi hivyo kuandamana mbele ya ubalozi wa sauzi ni kutoa ujumbe (voice of the voiceless). Una jengine?
Alo shika adabu kenge weweNadhani wana akili kukuzidi
Tatizo tumefanya ununuzi wa ndege hizo kama moja ya mafanikio makubwa ya awamu hii. Hatujiulizi jirani zetu Kenya wanazo ngapi na kama wanapata faida.
Ni ile Ile mentality ya mifugo mingi isiyo na faida lakini wamiliki wanajisikia ni matajiri wakubwa.
usintishe babu...nacheza na transfoma huku daily sembuse hiyo tuu
Zingatia haya wala usishangae sana:Kwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!
Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?
Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!
Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.
Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.
Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?
Tumezidi ushamba.
Unasahau huyu ni mtafuta k za bure hapa JF cc Mama Sabrina , si ajabu ni picha ya anayemmendea
Nimekupokonya like, utansameheUnajifanya hukumbuki wanaijeria walifanya nini kwa wasauzi. Napongeza vijana walioandamana
Naw ni ndge yako?Pole nilikuwa nataka kueleza kuwa gadhabu za watu wa nchi moja huonesha kwa kuandamana katika ubalozi wao. Wanaija walifanya huko kwao kuonesha kusikitishwa na mauaji ya wanaija na sie vijana wapo Sawa maana ndege yao imeshikiriwa sauzi hivyo kuandamana mbele ya ubalozi wa sauzi ni kutoa ujumbe (voice of the voiceless). Una jengine?
Mkuu Nyani Ngabu ukiyaangalia yale maandamanaji kama yanavyojiita hayajui hata ndege inafananaje