Tumewekwa njia panda

Tumewekwa njia panda

Wa kulaumiwa ni Mbowe, this man is the real reason CDM is regressing. Comrade Mbowe has to step down, his time is up.
 
Lowassa akiondoka cdm itapendeza zaidi ya akiendelea kubaki.
 
Mahitaji ya nyakati yalilazimu
Wrong consolation. Mahitaji yetu hayakuwa Lowassa, kwa kujifariji kizembe na kijinga hivi tutaendelea kuruhusu viongozi kufanya makosa ya kijinga bila kuhojiwa na kuwajibishwa. Why don't we admit that Dr. Slaa was right?
 
Tukisema CHADEMA ya siku hizi imejaa mazuzu mnabisha.
Wengine tuliliona hilo siku nyingi tangu 2015 Mbowe alipofika bei.
CDM imejaa wenye akili mkuu, mazuzu ni nyie hasa wewe, mama yako, baba yako, mumeo na mahawara zako wa kiume. CDM itabaki kuwa na watu cream hakuna mfano
 
Wa kulaumiwa ni Mbowe, this man is the real reason CDM is regressing. Comrade Mbowe has to step down, his time is up.
Mbowe is here to stay come what may! Infact CDM needs Mbowe today than before
 
kama akiondoka aondoke tu kama walivyoondoka wengine, hazina ya CDM ni vijana wenye maono, mtizamo na ari ya kuleta mabadiliko nchi hii. Tusonge mbele makamanda bado wapo wengi sana tena wa KUMWAGA na bado WANAKUJA
 
jANA NIMEMSIKIA Mbowe ktk DW kusema kweli nilizidi kumpenda, aliongea vzr sana kuhusu huyu mtu lowasa.
 
Wrong consolation. Mahitaji yetu hayakuwa Lowassa, kwa kujifariji kizembe na kijinga hivi tutaendelea kuruhusu viongozi kufanya makosa ya kijinga bila kuhojiwa na kuwajibishwa. Why don't we admit that Dr. Slaa was right?
Umepotoka Slaa was also wrong... Usimtee mtu they are all politicians
 
Mkuu kuteleza si kuanguka ili nalo ni funzo kwa mnunuzi na muuzaji
 
Wrong consolation. Mahitaji yetu hayakuwa Lowassa, kwa kujifariji kizembe na kijinga hivi tutaendelea kuruhusu viongozi kufanya makosa ya kijinga bila kuhojiwa na kuwajibishwa. Why don't we admit that Dr. Slaa was right?
Nawe analytical capacity yako ni poor. By those days CDM ilihitaji mtu wa kuwawezesha kupata wabunge wengi, madiwani e5c. Na hilo lilifanikiwa sana by over 90%. Na bado mpaka leo it sounds good. Unasahau kuwa kama siyo kuwa na Dikiteita hakuna ambaye angelikwenda, angelirudi CCM. Mwambie aruhusu CDM izunguke nchi nzima uone response itakuwaje! Jaribu kufikiri kwa mapana zaidi. Make an all encompassing analysis. Avoid isolated incidences
 
Umepotoka Slaa was also wrong... Usimtee mtu they are all politicians
Dr was wrong katika nini?
Hakutaka kuchangamana na tamaa za kijinga za akina Mbowe na Lissu. Alijua chama kitapata temporary popularity halafu baada ya uchaguzi tu kitaperish kama tunavyoshuhudia sasa.
Mliokuwa na vichwa vigumu sasa mmeanza kuelewa taratibu akili KUBWA.
 
Dr was wrong katika nini?
Hakutaka kuchangamana na tamaa za kijinga za akina Mbowe na Lissu. Alijua chama kitapata temporary popularity halafu baada ya uchaguzi tu kitaperish kama tunavyoshuhudia sasa.
Mliokuwa na vichwa vigumu sasa mmeanza kuelewa taratibu akili KUBWA.
Bado huzijui siasa
 
Back
Top Bottom