Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
hizi mambo ndio zinafanya TZ izidi na kuendelea kuwa maskini, waTZ watu wa matukio hasa yasiyo na kichwa wala miguu..
saa hizi watu wanawaza innovations za kukabiliana na baridi/winter ili lisidhuru utendaj kaz na uzalishaji....waTZ badala ya kuwaza cha kufanya kutatua matatzo yenu hasa hayo ya mafuriko wanabaki kununuana na kuhamahama vyama tuu,
yaani its too rubish...media coverage zimejaa huo upuuzi tu!
aibu sana kwakweli.
saa hizi watu wanawaza innovations za kukabiliana na baridi/winter ili lisidhuru utendaj kaz na uzalishaji....waTZ badala ya kuwaza cha kufanya kutatua matatzo yenu hasa hayo ya mafuriko wanabaki kununuana na kuhamahama vyama tuu,
yaani its too rubish...media coverage zimejaa huo upuuzi tu!
aibu sana kwakweli.
