kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Tunashukuru awamu ya tano kwa kuruhusu Bunge live Tena, tunashukuru kwamba gharama za matangazo ya Bunge live si kigezo Tena Cha kudhibiti Bunge Live. Ila kwanini media hazituelewi?
Leo shamrashamra za kupatikana kwa spika 99.7% Dodoma hazijapewa kipaombele kwenye media hasa social media tatizo ni nini? Au atukuwaambia Kuna Jambo Dodoma? Nichukue fursa hii kuwaomba watanzania tuliopiga kura na kuwapa CCM ushindi wa kishindo tuendelee pia kusambaza taarifa za Yale wabunge wanayofanya Dodoma maana mkikaa kimya mkaruhusu wanaharakati na wapinzani kumiliki media na kupewa attention italeta picha tulibebwa.
Mhe. Ndugai kasema tusikilize na kuangalia live Bunge, tusimwangushe. Mkisusa mnawakwaza viongozi wetu tuwape moyo
Leo shamrashamra za kupatikana kwa spika 99.7% Dodoma hazijapewa kipaombele kwenye media hasa social media tatizo ni nini? Au atukuwaambia Kuna Jambo Dodoma? Nichukue fursa hii kuwaomba watanzania tuliopiga kura na kuwapa CCM ushindi wa kishindo tuendelee pia kusambaza taarifa za Yale wabunge wanayofanya Dodoma maana mkikaa kimya mkaruhusu wanaharakati na wapinzani kumiliki media na kupewa attention italeta picha tulibebwa.
Mhe. Ndugai kasema tusikilize na kuangalia live Bunge, tusimwangushe. Mkisusa mnawakwaza viongozi wetu tuwape moyo