Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,959
- 49,474
Aizidiwa tu mbinu na wana mtandao..Hujui kuwa Uchaguzi wa mwaka 2005 ulikuwa chini ya wenyekiti wa Mkapa, ambaye ndite aliyeacha undeshwe kwa mgawanyiko?
Aizidiwa tu mbinu na wana mtandao..Hujui kuwa Uchaguzi wa mwaka 2005 ulikuwa chini ya wenyekiti wa Mkapa, ambaye ndite aliyeacha undeshwe kwa mgawanyiko?
Hakuwa strong! Mbona mwaka 2015 Kikwete alimfuta Lowasa, ni vivyo hivyo Mkapa angeweza kumfuta Kikwete na timu yake yote!Aizidiwa tu mbinu na wana mtandao..
Kikwete alikuwa ana mgombea wake amemuandaa mwenye ushawishi pia, hilo lilichangia kumfuta Lowassa.Hakuwa strong! Mbona mwaka 2015 Kikwete alimfuta Lowasa, ni vivyo hivyo Mkapa angeweza kumfuta Kikwete na timu yake yote!
Nyerere (Rip) ndio angeweza kufanya hilo..Hakuwa strong! Mbona mwaka 2015 Kikwete alimfuta Lowasa, ni vivyo hivyo Mkapa angeweza kumfuta Kikwete na timu yake yote!
Uchaguzi wa Mwaka 2005 ndio uliopanda siasa mpya za nchi hii. Matokeo mengine yote mbegu ilianzia pale na mnakumbuka pia 2010 JK alivyosaka kura kwa kusaidiwa na familia! Kila uchaguzi umekuwa chanzo cha mipasuko na kuzaa makundi yanayohujumiana. Uchaguzi wa 2025 ilikuwa kilele cha matatizo ya muda mrefu. Kuelekea 2030 kama tusiporudi kwenye misingi tutaingia nchi kwenye matatizo yaliyopo Congo.
Swali kwako, ufisadi wa Lowasa ulithibitika au ilibakia kuwa maneno tu??Nimemsikiliza mzee wangu Butiku, yeye nu tafsiri halisi ya kile nilichoandika.ana Chuki na Chadema ni Maadui zake, hivyo hivyi kibaya zaidi hata Chadema mtu yeyite bdani ya CCM ni adui yao. Sababubsio Itikadi wala sera bali Chama.
Samahani Chukulia Magufuli ambae aliiba itikadi na Sera za Chadema mwaka 2015 lakini yeye ndite akawa Adui wa Chadema toka anaapishwa! Halafu Chadem walokuwa wakipinha Ufisadi wakamchukua Lowassa na kumoa sifa zote!
Yote haya ni kutazamwa fursa za kuingia Ikulu hapakuwa na Siasa safi wala Uzalendo kwa nchi yetu. ACT wanaojiita Wajamaa na Wazalendo leo wanapigania Uzanzibar! Tena kibaya zaidi wanarudisha siasa za Hizbu ambazo zilipigwa marufuku baada ya Mapinduzi.
Ushahidi wa Lowassa waulize Chadema maana Dr.Slaa alimtaja 2007! Halafu ndugu yangu kuna kesi gani ya Ufisadi wa viongozi ambayo wewe unaijua ilithibitishwa?Swali kwako, ufisadi wa Lowasa ulithibitika au ilibakia kuwa maneno tu??
Pia kwanini unazunguuka sana mbuyu na kushindwa kusema viongozi wa ccm ndio wametufikisha hapa tulipo??
Nakubaliana kabisa na wewe khs mmomonyoko wa maadili kwa viongozi hasa kwy kujilimbikizia mali na ccm kuachana na suala la maadili ya uongozi.
Hicho ndio chanzo cha minyukano na dharau ndani ya ccm, kisha wakatoka nje na kufanya watakavyo bila kujali wananchi ndio wenye nchi.
Uchaguzi wa Mwaka 2005 ndio uliopanda siasa mpya za nchi hii. Matokeo mengine yote mbegu ilianzia pale na mnakumbuka pia 2010 JK alivyosaka kura kwa kusaidiwa na familia! Kila uchaguzi umekuwa chanzo cha mipasuko na kuzaa makundi yanayohujumiana. Uchaguzi wa 2025 ilikuwa kilele cha matatizo ya muda mrefu. Kuelekea 2030 kama tusiporudi kwenye misingi tutaingia nchi kwenye matatizo yaliyopo Congo.
Swali kwako, ufisadi wa Lowasa ulithibitika au ilibakia kuwa maneno tu??
Pia kwanini unazunguuka sana mbuyu na kushindwa kusema viongozi wa ccm ndio wametufikisha hapa tulipo??
Nakubaliana kabisa na wewe khs mmomonyoko wa maadili kwa viongozi hasa kwy kujilimbikizia mali na ccm kuachana na suala la maadili ya uongozi.
Hicho ndio chanzo cha minyukano na dharau ndani ya ccm, kisha wakatoka nje na kufanya watakavyo bila kujali wananchi ndio wenye nchi.