barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Na ndio mashetani wa watoto wetu.
Kuwabaka na kuwalawiti.
Mna laana kubwa nyie.
Kwa njia moja au nyingine mnahusika na hilo.
Na ndio mashetani wa watoto wetu.
Kuwabaka na kuwalawiti.
Mna laana kubwa nyie.
Mbona hamjisemi wenyewe mnavyosababisha ushoga?
Halafu mkija hapa full kujitia mnalaani ushoga wakati ushoga ni wanaume wenyewe.
Badilikeni la sivyo wanaume wote mtakua mashoga maana mnatamaniana.
Ptuuu!
Kuanzia leo wanawake wote humu MMU tuungane kususia kuchangia thread zinazotugusa, humu maana kila siku thread zote ni kuhusu wanawake (mama zao, shangazi zao, watoto wao wa kike,) kwa uchungu nilionao juuya hili jambo. Ninawaomba wanawake wenzangu kususia thread zote zitakazokuwazinawagusa wanawake kwa muda wa mwezi mmoja. Yaani huo mwezi ukiishamsipojirekebisha tunaondoka kabisa. Toenimaoni yenu tufanyeje ili hawa viumbe watutoe midomoni mwao. Au tuwarudishetumboni tulimowatoa? Karibu Ladies tujadili. Ni kwa wanawake tu.
Natarajia kuwaona wanawake hawa kwenye huu UZI
#TEAM_bwawa
#TEAM_kujichubua
#TEAM_wauzaK
#TEAM_flatscreen
#TEAM_mizinga
#TEAM_watembea uchi
#TEAM_artificial
Anyway tutaishi na nyie hivyohivyo na hatoki mtu hapa
Kwa njia moja au nyingine mnahusika na hilo.
Mashoga wako dar es salaam tu, kijijini wala hutosikia neno shoga linatajwa. lakn wanawake kila kOna wanafanya uchangudoa.
Kuanzia leo wanawake wote humu MMU tuungane kususia kuchangia thread zinazotugusa, humu maana kila siku thread zote ni kuhusu wanawake (mama zao, shangazi zao, watoto wao wa kike,) kwa uchungu nilionao juuya hili jambo. Ninawaomba wanawake wenzangu kususia thread zote zitakazokuwazinawagusa wanawake kwa muda wa mwezi mmoja. Yaani huo mwezi ukiishamsipojirekebisha tunaondoka kabisa. Toenimaoni yenu tufanyeje ili hawa viumbe watutoe midomoni mwao. Au tuwarudishetumboni tulimowatoa? Karibu Ladies tujadili. Ni kwa wanawake tu.
Ukishaona watu wakosa uvumilivu wa kukosolewa ujue hawataki kurekebika.Hawa ndio Dada,wake na mama zetu wa Leo.
Kuanzia leo wanawake wote humu MMU tuungane kususia kuchangia thread zinazotugusa, humu maana kila siku thread zote ni kuhusu wanawake (mama zao, shangazi zao, watoto wao wa kike,) kwa uchungu nilionao juuya hili jambo. Ninawaomba wanawake wenzangu kususia thread zote zitakazokuwazinawagusa wanawake kwa muda wa mwezi mmoja. Yaani huo mwezi ukiishamsipojirekebisha tunaondoka kabisa. Toenimaoni yenu tufanyeje ili hawa viumbe watutoe midomoni mwao. Au tuwarudishetumboni tulimowatoa? Karibu Ladies tujadili. Ni kwa wanawake tu.
Hahahaaa
Halafu unataka uwe kichwa cha nyumba kwa namna hii?
Aibu yako
Hii thread ni wanawake tu sasa sijui unataka nini mkuu. Waache waamke waje maana mnatuonea sana tune tutakavyojipanga na haya mashambulizi yenu dhidi yetu kila siku.
Hii siku inaanza kuharibika mapema sana ngoja nisepe
Jikaze tu dada yangu, ni chabgamoto za maisha
Mimi mtu akinichokoza kumkalia kimya huwa siwezi sijui kwa nini
Mashoga wako dar es salaam tu, kijijini wala hutosikia neno shoga linatajwa. lakn wanawake kila kOna wanafanya uchangudoa.