Tumechoka kusemwa humu ndani jamani

Tumechoka kusemwa humu ndani jamani

Kabla sijatokomea kuna mwenzenu juzi alitoa kali ya November alitupiamo picha humu eti anasaka mafriends we kwa hali hiyo raia watakuacha hv hv
 
Kuanzia leo wanawake wote humu MMU tuungane kususia kuchangia thread zinazotugusa, humu maana kila siku thread zote ni kuhusu wanawake (mama zao, shangazi zao, watoto wao wa kike,) kwa uchungu nilionao juuya hili jambo. Ninawaomba wanawake wenzangu kususia thread zote zitakazokuwazinawagusa wanawake kwa muda wa mwezi mmoja. Yaani huo mwezi ukiishamsipojirekebisha tunaondoka kabisa. Toenimaoni yenu tufanyeje ili hawa viumbe watutoe midomoni mwao. Au tuwarudishetumboni tulimowatoa? Karibu Ladies tujadili. Ni kwa wanawake tu.


Lakini mkuu hili halikuwepo kwenye maazimio ya BEIJING, au ni azimio la wapi hili, any way kama mwatembea uchi musiambiwe, kama mwauza papuchi musiambiwe,

Hongereni azimio ni zuri
 
Na wanaume wanaopondea wanawake majority sio rijali wana element za kike na hawajiamini mwanaume wa kweli hawezi kuwa mjinga wa kumzalilisha mwanamke
 
Da Pretty

Kweli wanaume hawajielewi jf kuna wanaume. Wachache sana wengine tuna compete nao
 
Last edited by a moderator:
Mdida nimekusoma dawa nikutafuta thread za ukweli juu ya uovu wa wanaume na inaonekana humu MMu wanaume ni wengi kuliko wanawake so wakilala wakiamka wanawaza mauzi ya michepuko yao then wanakuja kuropoka humu, sababu hayo maovu wanayofanya wanawake wanayafanya wakiwa na pacha zao wanaume ........inashangaza eti wanawake wanaongoza kwa.......:baby:
 
Humu ndani mbona wamejaa wanaune zaidi????(according to utambulisho na magambo yao wakinyuzika)


Au nao wanavyaa sketi??
 
Papuchi mnanua wenyewe na hata mk za wanaume wenzenu mnanunua mbona hamjisemi...? Mnapindisha uhalisia kwamba mavazi ni kwenda na wakati si Tanzania tu ni dunia nzima wasichana wanavaa wanavyojisikia,....kwa hiyo nyie Tanzania ndiyo nani hadi muweze kubadilisha style za mavazi, Bungeni ilijadiliwa matokeo yake?....acheni kuropoka....think big...
 
Niubake uzi lakn sahamani ladies kama nitawakosesha raha!

Lengo kuu la jf, kubandilisha mawazo, kujifunza, na kujadili mambo mbali mbali ya kijamii, kiuchumi kisiasa na kiutamanduni,

vileve jf ipo kwa ajili ya kuonya ,kuasa na kukosoa yale mabaya yanayofanyika katika jamii zetu.

lengo la jf siyo kujudge kundi fulani, la kidini, kijinsia, kikabila n.k .

kwa nyie wanawake ni kweli mnaongoza kusemwa hasa mmu. basi kama mnataka msisemwe sana, munatakiwa kuyaacha yale mabaya, maovu na makosa mnayoyafanya katika jamii zetu

mwanawake mmu naweza kuwafanyanisha na ccm katika jukwaa la siasa
nadhani unajua mabaya yanayofanywa na ccm katika jamii.

Wewe ni malaika hutendi mabaya? Mbona huyasemi mabaya na maovu yako?

Halafu unaji contradict kwa kusema jf sio jukwaa la ku judge wewe mbona bingwa wa kunyoosha vidole, hesabu hivyo vidole vyako vinavyokugeukia mwenyewe.

Wana saikolojia wanasema mtu anayekosoa sana wengine ana mabaya yake anayoyaficha na ili yasionekane anajitahidi sana kuya project kwa wengine.

Jihukumu mwenyewe kwanza kabla ya kuhukumu wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom