mdida
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 1,607
- 777
Kuanzia leo wanawake wote humu MMU tuungane kususia kuchangia thread zinazotugusa, humu maana kila siku thread zote ni kuhusu wanawake (mama zao, shangazi zao, watoto wao wa kike,) kwa uchungu nilionao juuya hili jambo.
Ninawaomba wanawake wenzangu kususia thread zote zitakazokuwa zinawagusa wanawake kwa muda wa mwezi mmoja.
Yaani huo mwezi ukiisha msipojirekebisha tunaondoka kabisa.
Toeni maoni yenu tufanyeje ili hawa viumbe watutoe midomoni mwao.
Au tuwarudishe tumboni tulimowatoa?
Karibu Ladies tujadili.
Ninawaomba wanawake wenzangu kususia thread zote zitakazokuwa zinawagusa wanawake kwa muda wa mwezi mmoja.
Yaani huo mwezi ukiisha msipojirekebisha tunaondoka kabisa.
Toeni maoni yenu tufanyeje ili hawa viumbe watutoe midomoni mwao.
Au tuwarudishe tumboni tulimowatoa?
Karibu Ladies tujadili.