Tumechoka kusemwa humu ndani jamani

Tumechoka kusemwa humu ndani jamani

Niubake uzi lakn sahamani ladies kama nitawakosesha raha!

Lengo kuu la jf, kubandilisha mawazo, kujifunza, na kujadili mambo mbali mbali ya kijamii, kiuchumi kisiasa na kiutamanduni,

vileve jf ipo kwa ajili ya kuonya ,kuasa na kukosoa yale mabaya yanayofanyika katika jamii zetu.

lengo la jf siyo kujudge kundi fulani, la kidini, kijinsia, kikabila n.k .

kwa nyie wanawake ni kweli mnaongoza kusemwa hasa mmu. basi kama mnataka msisemwe sana, munatakiwa kuyaacha yale mabaya, maovu na makosa mnayoyafanya katika jamii zetu

mwanawake mmu naweza kuwafanyanisha na ccm katika jukwaa la siasa
nadhani unajua mabaya yanayofanywa na ccm katika jamii.

Ww ndo ke!??? Au kiherehere!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom