Tumechoka kusemwa humu ndani jamani

Tumechoka kusemwa humu ndani jamani

usipomuongelea mwanamke utamuongelea nani? hakuna chochote duniani bila mwanamke. MMU bila mwanamke itakufa kifo cha mende....... angalizo kwa wanaume wote ni kuwa msiwatukane mama zenu... wakati mwingine mabaya mnayoyaona kwao yanasababishwa na ninyi wenyewe.
 
Hapa mimi refa filimbi ipo mdomoni

ila yanayoendelea humu ndani

aibu naona mimi
 
Utasusa mangapi? unawatangazia ushindi?? kwa lipi ma??....waache waseme,we chuja tu yaliyo na maana yapokee yasiyo na maana tupa kulee. Usijipe presha kwa comment za wanaume kwenye keyboard zao. wengi wao wanaoongea hovyo hana hata uwezo wa kuyasema hivyo kwenye uso wa aliyemsababisha kusema hivyo. Vile Mungu kamjalia,simu au laptop au hata pc ya ofisi ndo anafunguka huku....easy my girls...!!
 
Tatizo lenu hampende kukosolewa mnapenda tu mbembelezwe.Ikikuwa ni viti maalumu au nafasi nyingine za ulaji vinanadiwa wanawake humu usingelalamika.Lazima muongeleke humu kwasababu mnaongoza kwa kuvunja maadili kwenye jamii na kuwaingiza wanaume wengi kwenye dhambi bila wao kutaka kutokana na mavazi yenu.
 
Tatizo lenu hampende kukosolewa mnapenda tu mbembelezwe.Ikikuwa ni viti maalumu au nafasi nyingine za ulaji vinanadiwa wanawake humu usingelalamika.Lazima muongeleke humu kwasababu mnaongoza kwa kuvunja maadili kwenye jamii na kuwaingiza wanaume wengi kwenye dhambi bila wao kutaka kutokana na mavazi yenu.

unatambaa nn au ndo unajifunza kutembea mwanaume mzima mwenye akili zako timamu ati mwanamke amekuingiaza kwenye DHAMBI bila we kujua unajiamini kweli wewe
 
This is too illogical or emotional kila lawama ina jibu lake hata silence nayo ni jibu
 
Of coz acheni kuwasesema akina dada. Mtu akiuza papuchii ya kwake kama unaona uchungu uza na wewe, na akitembea uchi wa kwake tatizo nn.
 
Niubake uzi lakn sahamani ladies kama nitawakosesha raha!

Lengo kuu la jf, kubandilisha mawazo, kujifunza, na kujadili mambo mbali mbali ya kijamii, kiuchumi kisiasa na kiutamanduni,

vileve jf ipo kwa ajili ya kuonya ,kuasa na kukosoa yale mabaya yanayofanyika katika jamii zetu.

lengo la jf siyo kujudge kundi fulani, la kidini, kijinsia, kikabila n.k .

kwa nyie wanawake ni kweli mnaongoza kusemwa hasa mmu. basi kama mnataka msisemwe sana, munatakiwa kuyaacha yale mabaya, maovu na makosa mnayoyafanya katika jamii zetu

mwanawake mmu naweza kuwafanyanisha na ccm katika jukwaa la siasa
nadhani unajua mabaya yanayofanywa na ccm katika jamii.

Ni ngumu kupumzika kujamba, wakati haujaacha kula kunde.
 
Acha waseme mdomo nyumba ya maneno!!!!!!!! who run the world????????
 
Ha ha ha eeh ukiona hivyo ujue nimegusa penyewe.Kwani wanaume wanobaka au mashoga ni wangapi ukilinganisha na wanawake wanaotembea nusu uchi hapa town na wapenda dezo.Pole sana naona mwiba umechoma penyewe siitaji kuongeza dozi zaidi.
 
Mimi mtu akinichokoza kumkalia kimya huwa siwezi sijui kwa nini

Nimeanza kuona dalili za usaliti...te te te...
Kukaa kimya huku mtu anakutia vidole vya macho kipaji...

Mimi na promise kujitahidi...sitachangii (i will try)
 
unatambaa nn au ndo unajifunza kutembea mwanaume mzima mwenye akili zako timamu ati mwanamke
amekuingiaza
kwenye DHAMBI bila we kujua unajiamini kweli wewe

Kajifunze kwanza kuandika ndo uingie humu atuitaji vilaza humu.Au ndo wale mliofaulu darasa la saba hamju KK nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom