Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Online voter.What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.
Babymama cariha , pls join me
Manual voting systemOnline voter.
Najua unamaanisha kuchangiwa, kwamba wanajiunga kuipiga CHADEMA kwa pamoja na siyo michango ya hali na mali!😂😂😂Hahaha ndio ya kuifuta CHADEMA au mualiko wa kuitwa kujieleza?!
CHADEMA kwenye uchaguzi huu inachangiwa na ccm, msajili, cuf na nec.
Safi sana tutaelewana tu. Endelezeni ukaidi wenu muone cha moto. Sheria lazima zifuatwe sijui mtakuja na huyo shoga wenu?
Tume inajiaibisha na kujiondolea sifa yenyewe.Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?
Huu ni udhalilishaji...
Akili za kushikiliwa hizo.Huu ni udhalilishaji...
Azabu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤭🤭🤭🤭🤭🤭Lissu apewe azabu kali iwe fundisho
Jane Lowassa ni shemale mkuu.You badly need to get a life and a man screw your brains into place while at it. Maana si bure mtoto wa kike kuwa na roho ngumu kama jiwe.
Uandishi wa Kishabiki sana huu.Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?
Jamaa zangu hawanaga me gi ni wazoefu wa Siasa za upinzani miaka 25 ya CDM HAO HAWAJUI CHAMA KINGINE KBS NA KWA KART POLISI NA WANAMCHI KUELEWANA NI RAHISI SANA ILA HUKO KWINGINE MTASIKIA MENGI SANAWakuu sina cha kuandika nafikisha tu taarifa ,,video zenyewe zi najielezea,ama kweli huu uchaguzi wa kihistoria.
View attachment 1583996
View attachment 1583997
Eti upinzani umekufa...ahahaha,dahWakuu sina cha kuandika nafikisha tu taarifa, video zenyewe zi najielezea, ama kweli huu uchaguzi wa kihistoria.
View attachment 1583996
View attachment 1583997
Labda 2020 aliyoisema kwamba upinzani utakuwa umekufa haijafika.Eti upinzani umekufa...ahahaha,dah
Ni yule mrusha mawe kwenye nyumba ya viooLabda 2020 aliyosema kwamba upinzani utakuwa umekufa hazijafika.
Hivi ni boya gani lilisema linataka upinzani uwe umekufa ifikapo 2020?
Umesema vema mkuu, miradi ya maendeleo sio hisani ya mtawala, bali ni haki na wajibu kadiri pato la taifa. Tunamhitaji Lissu asimamie katiba bora tuondokane na mfumo wa kifalme wa kishamba.( Leo hii kuanzia VP, PM, Bunge, Mahakama na taasis zote wapo wapo hofu,kusifu na kuabudu) Tunahitaji, uhuru, haki na ustawi wa jamii, mahusiano bora nchi rafiki na jumuia za kimataifa.JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.