Wayne
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 659
- 204
Mtu awaye yote atakayeweza kupata ile video ya mdahalo wa jana, naomba ailete hapa, pliiz
Mdahalo wa jana ni muhimu tukawa na nakala
Video yote, mwanzo mpaka mwisho
Mtu awaye yote atakayeweza kupata ile video ya mdahalo wa jana, naomba ailete hapa, pliiz
Mdahalo wa jana ni muhimu tukawa na nakala
Ni kweli kabisa mi nilikuwepo mwigulu,lukuvi,wasira walivuliwa nguo walibaki na boxer tu,lukuvi hata boxer hakua nayo alibaki na mkono sweta.
Nchi hii ina watu wa aina tofauti lakini wengi ni makundi ya 'wajinga' na lingine ni 'wapumbavu' - Prof. Kabudi P (unofficial quote, 04/08/2014 Ubungo Plaza Dar es Salaam).wana tume waliongea vizuri sana jana cjui hawa kina wsira wataweka wapi sura zao lakini hawana aibu jamaa.
unajitekenya halafu unacheka!Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv! Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Nchi hii ina watu wa aina tofauti lakini wengi ni makundi ya 'wajinga' na lingine ni 'wapumbavu' - Prof. Kabudi P (unofficial quote, 04/08/2014 Ubungo Plaza Dar es Salaam).
Mimi naungana na Prof. Kabudi kuwa kwenye kundi la 'wajinga' ambalo huenda ndio 20%. Sitaki kabisa kuwa kwenye kundi la 'wapumbavu'.
Unaakili kweli wewe? imekaa kishabiki kivipi? kwani kuna uongo uloandikwa hapo?!!
kuongoza kundi la 'wajinga', mbona nitajionea fahari!?nadhani wewe ndio kiongozi wa hilo kundi.
kama bado unasoma Tanzania daima ni lazima utakuwa shabiki nguli wa magazeti ya udaku.
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Sasa kama wameivua nguo wao wasemeje !? unataka waseme wameivalisha !
Lukuvi alisema kwamba Warioba ameleta mapendekezo mapya ya kuongeza kwenye rasimu, na Warioba amethibitisha pasipo na shaka kwamba huo ni uongo 100%. Sasa kama huko si kuvuliwa nguo ni nini ?
By the way Gazeti la Tanzania Daima limeisha mapema sana leo ! Nimelitafuta hilo gazeti pamoja na mwananchi kwa wauzaji kadhaa wa magazeti, nikakuta hilo pamoja na mwananchi yamenunuliwa na kwisha kwa wauzaji wote niliowatembelea !
Mkuu hawa mbona wamevaa, yaani maana yake na hizo boxer ziwe hazipo ---!!!Hahahaa.......like this?
![]()
Mi huko siko,hayo peleka kwa wamiliki wa gazeti,huenda watakubaliana nawelibadilishwe jina na liitwe TANGANYIKA DAIMA au UKAWA DAIMA