sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?