KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
wana tume waliongea vizuri sana jana cjui hawa kina wsira wataweka wapi sura zao lakini hawana aibu jamaa.
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Sijawahi kusoma wala kununua hilo gazeti, ni zaidi ya udaku.
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Mi naona serikali haijavuliwa nguo bali imejivua nguo yenyewe! Wahenga walisema 'kadili nyani anavyozidi kupanda juu uchi wake ndio unazidi kuonekana'
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Weka hiyo habari hapa tuone huo ushabiki siyo unakata viuno tu.
uliye kaa kishabiki ni wewe! mwenye masikio lakini husikii, mwenye macho huoni, uliye soma lakini hujui maana ya uchochezi. waulize hao waloko serikalini kama wana cha kubisha kati ya yote yaliyo semwa jana pale UBUNGO PAZZA. Wenye akili wanawa shukuru sana ITV kwa uzalendo wao.Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
...badala ya kuangalia kinachoonyeshwa unaangalia kinachoonyesha....sio makosa yako coz akili yako inamakengengeza.....
Akili za kuambiwa changanya na zako hilo ndo lakufanya kwenye habari hii iliolipotiwa karibu na Magazeti yote na baadae ukisubilia maruio ya mdahalo huu wikendi.
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
kama bado unasoma Tanzania daima ni lazima utakuwa shabiki nguli wa magazeti ya udaku.
hili gazeti huwa linatumiwa sana vijijn kwa matumiz ya chooni.
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Gazeti la leo la Tanzania Daima limeandika habari hii ambayo imekaa kishabiki. Ni ule mdahalo uliofanyika ITV jana nakuwaunganisha na waheshimiwa Lukuvi, Wassira, Mwigulu na Tibaijuga katika mdahalo wa juzi wa Startv!
Hivi mara ya mwisho hili gazeti kufungiwa ni lini?
Prof. Kabodi bana: -------- ana tabia ya kushupaa na
Mjinga ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni
MJiNGa...Somo kubwa sana 2014...Je wewe unachagua
kushupaa au kuduwaa?! # KaziKwako # KatibaMpyaTz