CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,340
- 5,048
Hakuna anayezuiwa kuweka hela kwenye ligi Mkuu,tatizo ni haya mambo ya uSimba na uYanga ndo unaleta kelele zote hizi.FCC wakibariki basi naamini upande wa pili nao wapinzani wa Yanga wataweka mzigo,hapo sasa itakua patashika nguo kuchanika.
Ukichunguza kwa makini sana,hakuna mahali TFF na GSM wamekosea,ila usumbufu tu.
Hivi kweli kati ya sisi tunaopiga tumba hapa JF na bodi ya ligi,ni nani anazijua sheria na kanuni za mpira!?