Azam media haina sifa ya kuidhamini ligi ya Tanzania

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,326
12,625
Azam media imeshinda tender ya kuidhamini ligi kuu kwenye matangazo, ingawa hatujui ilishindanishwa na kampuni zipi za habari.

Azam groups wanamiliki timu ya mpira inayoshiriki ligi kuu pia lakini Ina watangazaji, waandishi na watendaji ambao wanashindwa kutenganisha kati ya kazi ya kuidhamini ligi na mahaba Yao kwa timu Yao ya Azam FC, Simba na Yanga. Hawana miiko inayotenganisha kati ya udhamini n mahaba (conflict of interest). Watendaji sio mature enough kwenye kazi hii ya udhamini (integrity). Wanaweza kutumia uandishi na udhamini wao kuibomoa timu wasiyoipenda au yenye ushindani na timu Yao ya Azam au timu nyingine wanayoishabikia. Mifano ni mingi sana ya kuthibitisha hili.

Lazima Dstv na Star Times waangalie namna ya kuingia kwenye kuomba kandarasi hii au TFF itoe miongozo kwa Azam media.
 
Azam media imeshinda tender ya kuidhamini ligi kuu kwenye matangazo, ingawa hatujui ilishindanishwa na kampuni zipi za habari.

Azam groups wanamiliki timu ya mpira inayoshiriki ligi kuu pia lakini Ina watangazaji, waandishi na watendaji ambao wanashindwa kutenganisha kati ya kazi ya kuidhamini ligi na mahaba Yao kwa timu Yao ya Azam FC, Simba na Yanga. Hawana miiko inayotenganisha kati ya udhamini n mahaba (conflict of interest). Watendaji sio mature enough kwenye kazi hii ya udhamini. Wanaweza kutumia uandishi na udhamini wao kuibomoa timu wasiyoipenda au yenye ushindani na timu Yao ya Azam au timu nyingine wanayoishabikia. Mifano ni mingi sana ya kuthibitisha hili.

Lazima Dstv na Star Times waangalie namna ya kuingia kwenye kuomba kandarasi hii au TFF itoe miongozo kwa Azam media.
star times hawana uwezo kutangaza ligi kuu
 
Mwanzoni hao unaowataja wote walifuatwa ili waidhamini NBC premier league lakini walikataa sasa baada ya AZAM kuwekeza league imepanda hadhi ndio kila mtu anataka kuwekeza AZAM ameitoa league mbali sana waache wale matunda yao.
 
Mwanzoni hao unaowataja wote walifuatwa ili waidhamini NBC premier league lakini walikataa sasa baada ya AZAM kuwekeza league imepanda hadhi ndio kila mtu anataka kuwekeza AZAM ameitoa league mbali sana waache wale matunda yao.
Ni biashara yenye faida na sio kuitoa ligi mbali
 
Azam media anaihujumu Yanga (mteja wake) pale anapompa air time mtu anaeihujumu Yanga. Kupitia Azam media Mayelle ameitangazia dunia kuwa Yanga Ina mikataba ya kinyonyani na wachezaji, Yanga Kuna wachawi na Yanga hakuna amani. Hii maana yake nini kwa mustakabali wa Yanga na kwa wachezaji wanaotarajia kujiunga? Ona namna Fei toto walivyompata, nk
 
Azam media imeshinda tender ya kuidhamini ligi kuu kwenye matangazo, ingawa hatujui ilishindanishwa na kampuni zipi za habari.

Azam groups wanamiliki timu ya mpira inayoshiriki ligi kuu pia lakini Ina watangazaji, waandishi na watendaji ambao wanashindwa kutenganisha kati ya kazi ya kuidhamini ligi na mahaba Yao kwa timu Yao ya Azam FC, Simba na Yanga. Hawana miiko inayotenganisha kati ya udhamini n mahaba (conflict of interest). Watendaji sio mature enough kwenye kazi hii ya udhamini. Wanaweza kutumia uandishi na udhamini wao kuibomoa timu wasiyoipenda au yenye ushindani na timu Yao ya Azam au timu nyingine wanayoishabikia. Mifano ni mingi sana ya kuthibitisha hili.

Lazima Dstv na Star Times waangalie namna ya kuingia kwenye kuomba kandarasi hii au TFF itoe miongozo kwa Azam media.
Acheni unafiki hao DStv na star times si walikuwepo peke Yao miaka mingi kabla ya Azam mbona hawakudhamini hiyo ligi
 
Mashabiki wa Yanga naona bado mna jipu moyoni 😂

Mtoa mada hujui chochote kuhusu hii ligi na Azam Tv.

Huu mkataba wa sasa wa Azam Tv kuonyesha ligi hata DStv alikuwepo wakati wa kutaka kuonyesha ligi ila tatizo la DStv yeye alitaka kuonyesha mechi za simba na Yanga tuu, yani ndani ya msimu wote msingeona mechi za akina Kagera vs Dodoma jiji, Azam vs Coastal n.k Wakati Azam Tv anaonyesha mechi zote.

Sasa ww kama TFF kwa akili za chekechea tuu ungempa nani mkataba wa kurusha mechi.?

Ligi imekuwa kubwa kutokana na nguvu ya Azam Tv afu mnakuja kuleta hisia zenu za kijinga.
 
Azam media imeshinda tender ya kuidhamini ligi kuu kwenye matangazo, ingawa hatujui ilishindanishwa na kampuni zipi za habari.

Azam groups wanamiliki timu ya mpira inayoshiriki ligi kuu pia lakini Ina watangazaji, waandishi na watendaji ambao wanashindwa kutenganisha kati ya kazi ya kuidhamini ligi na mahaba Yao kwa timu Yao ya Azam FC, Simba na Yanga. Hawana miiko inayotenganisha kati ya udhamini n mahaba (conflict of interest). Watendaji sio mature enough kwenye kazi hii ya udhamini. Wanaweza kutumia uandishi na udhamini wao kuibomoa timu wasiyoipenda au yenye ushindani na timu Yao ya Azam au timu nyingine wanayoishabikia. Mifano ni mingi sana ya kuthibitisha hili.

Lazima Dstv na Star Times waangalie namna ya kuingia kwenye kuomba kandarasi hii au TFF itoe miongozo kwa Azam media.
Jiwe limekupata ndio unajitia weledi.Azam tulipiga kelele kuhusu conflict of interest mkasema tunalalamika.
Kama unapenda fair playing ground kwa timu zote wacha kuchagua inapoiathiri timu yako.
GSM wana mkataba na TFF wa miaka 2 na wao ndio wadhamini wa timu mojawapo kwenye ligi na Rais wa hiyo timu ni mfanyakazi wao.
Hapo hamna conflict of interest?Au inapoaathiri timu zenu pendwa ndio kelele zinaanza.
Msiwe na selective judgement kuweni na weledi wakati wote.
 
Azam media imeshinda tender ya kuidhamini ligi kuu kwenye matangazo, ingawa hatujui ilishindanishwa na kampuni zipi za habari.

Azam groups wanamiliki timu ya mpira inayoshiriki ligi kuu pia lakini Ina watangazaji, waandishi na watendaji ambao wanashindwa kutenganisha kati ya kazi ya kuidhamini ligi na mahaba Yao kwa timu Yao ya Azam FC, Simba na Yanga. Hawana miiko inayotenganisha kati ya udhamini n mahaba (conflict of interest). Watendaji sio mature enough kwenye kazi hii ya udhamini. Wanaweza kutumia uandishi na udhamini wao kuibomoa timu wasiyoipenda au yenye ushindani na timu Yao ya Azam au timu nyingine wanayoishabikia. Mifano ni mingi sana ya kuthibitisha hili.

Lazima Dstv na Star Times waangalie namna ya kuingia kwenye kuomba kandarasi hii au TFF itoe miongozo kwa Azam media.
Azam wadumu saaana, wameleta mapinduzi ya uhakika.
 
Back
Top Bottom