BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Hata hivyo, Tume imesema kuna malalamiko kuhusu Adhabu ya Kifungo cha Maisha kuwa hakitoi nafasi ya Mfungwa kujirekebisha. Hivyo kuna mapendekezo kuwa Kifungo cha Maisha kipewa muda maalumu.
Kuhusu adhabu Kifo amesema Tume imebaini kuna maoni ya Kufutwa adhabu hiyo kwasababu ni ya kikatili na isiyozingatia Haki za Binadamu pamoja, kutotekelezeka kwa muda wa miaka 28 na kuwatia hofu Wafungwa.