Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,377
Unataka kujaribu (kuonja) mapishi yangu?Hongera sana Jamaa_Mbishi!
Last edited by a moderator:
Unataka kujaribu (kuonja) mapishi yangu?Hongera sana Jamaa_Mbishi!
Unataka kujaribu (kuonja) mapishi yangu?
mpikie mama watoto romantic dinner!Unataka kujaribu (kuonja) mapishi yangu?
mpikie mama watoto romantic dinner!
Nasikia wanaume tu ndo wanaruhusiwa kula hio kitu!Hivi wakuu nani ameshawahi kutafuna korodani za ng'ombe?
Hunaga mapishi kaimati zimekushinda ukawapikia wenzio uji😛😛😛😛😛😛😛
mpikie mama watoto romantic dinner!
Dada farkhina naona sasa unanitafuta...mimi nataka nimwonjeshe mwenzio (@mimi49) mapishi yangu yaani ondoa hizo kaimati zako za uji uji, wewe unanisanifu. Basi kwa taarifa yako....nitajitahidi mpaka niweze kupika kaimati nzuri shinda hizo zako za internet.
basi itakua hivyo ila zina taste balaa yanNasikia wanaume tu ndo wanaruhusiwa kula hio kitu!
basi itakua hivyo ila zina taste balaa yan
walim-overdose na dawa za mchina. homornes zote ziko messed up hata umpike vipi!