Tumchinje Huyu...!!!!

Tumchinje Huyu...!!!!

mara ya kwanza nimeiona hii kazi maabara nilishangaa sana nikadhani ni siri kumbe wametoa hadharani! HUO NI MCHANGANYIKO WA SELI ZA NGURUWE NA NG'OMBE kama sijakosea ni wanasayansi wa kijerumani, pia kulikuwa na za paka na panya sijui kama hawafanyi majaribio ya seli za binadamu na wanyama wengine Mungu apishe mbali...
aisee kweli sayansi hatari mkuu, kwaio ni kitu kama cross breeding au genetic engineering?
 
Afu nina hasira na weweeeee. Zile kaimati zako za jana nimejaribu kama ulivyosema ila zimetokea uji wa hajabu hajabu na haziwezi kulika mpaka watoto wangu ilibidi wale vyakula vibovu (chips mayai) because of you. Ungekuwa unaishi karibu haki ya nani ningekutumia vijana wa afande Kova wakulete nyumbani uje kunionyesha live namna ya kupika, tena kwa ulazima😡

Kwa hiyo mie ndio nahusika kuharibu kuimati? Umekosea uko kufata maelezo halafu wataka nipeleka polisi mwenzio...umetia mimaji mengi au tui jingi....sema kweli.
 
Kwa hiyo mie ndio nahusika kuharibu kuimati? Umekosea uko kufata maelezo halafu wataka nipeleka polisi mwenzio...umetia mimaji mengi au tui jingi....sema kweli.



Shhhhhh, usiwaambie watu lakini. Naona nimetia maji mengi ila sikubali kosa ni lako kwa sababu hujaniwekea video.
 
Shhhhhh, usiwaambie watu lakini. Naona nimetia maji mengi ila sikubali kosa ni lako kwa sababu hujaniwekea video.

Hahahahahaha unalijua kosa lako kumbe alafu wanisingizia mie....fanya uzito kiasi kama wa unga wa bajia..
 
Afu nina hasira na weweeeee. Zile kaimati zako za jana nimejaribu kama ulivyosema ila zimetokea uji wa hajabu hajabu na haziwezi kulika mpaka watoto wangu ilibidi wale vyakula vibovu (chips mayai) because of you. Ungekuwa unaishi karibu haki ya nani ningekutumia vijana wa afande Kova wakulete nyumbani uje kunionyesha live namna ya kupika, tena kwa ulazima😡
ha ha ha pole...mama watoto yuko wapi apikie watoto?Kweli we hodari umeenda kujaribu kupika kaimati mashallah!!
 
ha ha ha pole...mama watoto yuko wapi apikie watoto?Kweli we hodari umeenda kujaribu kupika kaimati mashallah!!

Mke wangu mtarajiwa mimi49, ni hivi. Mama watoto yuko safari ya kuona wazazi na alinikataza kuajiri house girl wa muda kutokana na usanii wao kwani tulisha shuhudia huko nyuma a family friend of ours kumwacha mkewe kwa kuwekewe madawa kwenye chakula na house girl....hivyo nikapigwa ban. Kingine, huwa mimi ni mtundu wa mapishi kwani napenda kupika vyakula ninavyopenda na ndiyo maana mke wangu hana wasiwasi na mimi kama akitokea kasafiri kwa siku chache. Hivyo kwa sasa nimekuwa baba mama ndani ya nyumba yangu na ninajivunia kichizi kwani naona furaha anayopata mke wangu kupikia familia. Kwa kweli ni jambo la raha sana.
 
Last edited by a moderator:
Mke wangu mtarajiwa mimi49, ni hivi. Mama watoto yuko safari ya kuona wazazi na alinikataza kuajiri house girl wa muda kutokana na usanii wao kwani tulisha shuhudia huko nyuma a family friend of ours kumwacha mkewe kwa kuwekewe madawa kwenye chakula na house girl....hivyo nikapigwa ban. Kingine, huwa mimi ni mtundu wa mapishi kwani napenda kupika vyakula ninavyopenda na ndiyo maana mke wangu hana wasiwasi na mimi kama akitokea kasafiri kwa siku chache. Hivyo kwa sasa nimekuwa baba mama ndani ya nyumba yangu na ninajivunia kichizi kwani naona furaha anayopata mke wangu kupikia familia. Kwa kweli ni jambo la raha sana.
Hongera sana Jamaa_Mbishi!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom