Tumalize mwezi wa 5 na zipi?

Tumalize mwezi wa 5 na zipi?

Mii nabaki na polepole tu " uchaguzi ukiwa wa huru na haki, sisiemu ijiandae kukabidhi ikulu"
 
Nimeoneshwa ktk ndoto kuna msiba wa mtu-mke mkubwa sana unakuja,
Huwa nachelewa kulala toka huu mwezi umeanza ili nishuhudie matangazo yakihamishwa ghafla....

Kwenye ndoto namuona mtu kasimama mbele ya bendera na leso mkononi
 
Ila hizo ndizi zinaita... sema tu umekosea kuzifunga kwenye gazeti. Mwalimu wa afya aliniambia si afya kula mandazi yaliyofungwa kwenye gazeti!
Maana yake ni kwamba si vema kukalia kiti cha marehemu kwa muda mrefu🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Huwa nachelewa kulala toka huu mwezi umeanza ili nishuhudie matangazo yakihamishwa ghafla....

Kwenye ndoto namuona mtu kasimama mbele ya bendera na leso mkononi
Duh🥺🥺🥺
 
Mbona umemsahau Boniface Jacob alivyowasambaratisha G55...kwa mujibu wa John Mrema G55 is no more
 
Tangu uanze kulipwa na Maria Sarungi kwa kila post umekuwa na pumba sana
 
Tangu uanze kulipwa na Maria Sarungi kwa kila post umekuwa na pumba sana
Ukikua utaacha
FB_IMG_1748260236512.jpg
 
Back
Top Bottom