Tumalize mwezi wa 5 na zipi?

Tumalize mwezi wa 5 na zipi?

June itakuwa ya moto sana.. Lakini hebu tuangalie za kufungia mwezi huu.. Zinazobamba sana

1. CHADEMA: No reforms no election
2. Gwajima: Utekaji vs wajibu hoja (wana ccm)
3: Gen-Z vs .....
4.chaumma.
5. Ongezea..
Kati ya hizi kuna zitakazopewa shavu zitrend na kuna zitakazominywa zisisikike!

Akili kichwani mwako..muda ni wako, simu ni yako, bundle ni lako.. Utachagua... Ma a na kupanga ni kuchagua...

Jiangalie usije ukachanganyikiwa pamoja nao... Maana bado wakihangaika na Gen-Z kaibuka Gwajima.. Sasa hawajui wamalize na yupi na waendelee na nani... Huko mtukano mkuu ndio huooo🤣View attachment 3346696
Ndizi choma na nusu ya moto.
 
Back
Top Bottom