Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,460
- 78,663
..ila bebii hawa akina TANMO na Kaizer naona km wana vamia mpaka wangu...si waelewei kabisa..NIA yao hasa ni nini kwakosawa bebii....nimekusamehe....
Last edited by a moderator:
..ila bebii hawa akina TANMO na Kaizer naona km wana vamia mpaka wangu...si waelewei kabisa..NIA yao hasa ni nini kwakosawa bebii....nimekusamehe....
Jamani Mdogo wangu beibe nasty nisamehe,leo nimeamka na stress si unajua shemejio jana hakulala nyumbani!!!
Nakukumbuka tu,uko kumoyo.
Ujumbe: (3L) Live Long Life.
Dedication: Mwana DSM-Twanga Pepeta.
narudisha salamu kwako twin kwa wimbo wa Real lov by massari!!natuma salamu dady Mentor akiwa na mumy Cathy,sisy Arabela akiwa na shem wa ukwee zubedayo,aunt BN akiwa na uncle Judgement twin sisy princess na wanachitchat wote nadedicate YOU ARE ME by ALAINE nawapenda sana Mwaaah!!!!!!
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha
Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.
Ujumbe: uanaume kazi
Wimbo:mkataa pema wa sikinde.
Asante sana ngudu mtoa mada. Kwa kabisa natuma salamu a babu yangu mpendwa Asprin na wake zake wote, Swahiba yangu kaiser, rafiki zangu erick52 JAGment, Rocky, Bishanga, dada yangu Catherine, bila kumsahau mamito gfsonwin, na mchumba wangu Yummy! Mwisho ni kwa wana JF popote pale walipo. Wimbo; Mwanameka uliopigwa na Dar International chini ya uongozi wa Marijani Rajabu.
@Zomba hizi kamba mbona zinazidi siku hizi.. darsa gani lile wakati wewe abiria tu ktk meli..Mnadanganywa sana na hivi vitabu vya kusona ingia majini baharia wa nchi kavu utajua kinachoendelea..