Tuma salamu, ujumbe chagua muziki.

natuma salamu dady Mentor akiwa na mumy Cathy,sisy Arabela akiwa na shem wa ukwee zubedayo,aunt BN akiwa na uncle Judgement twin sisy princess na wanachitchat wote nadedicate YOU ARE ME by ALAINE nawapenda sana Mwaaah!!!!!!
 
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha

Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.

Ujumbe: uanaume kazi

Wimbo:mkataa pema wa sikinde.
 
Last edited by a moderator:
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha

Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.

Ujumbe: uanaume kazi

Wimbo:mkataa pema wa sikinde.

thanks ma swtlo, ila leo yaani kila nikikaa nafsi inahamalika manake nakumbukia lile busu lako la alfajiri ya leo.

miye napenda kutuma salaam za dhati kabisa kwa Asprin popo pale alipo mida hii akiwa na msiri wangu wa ukweli cacico na wake wenzie BADILI TABIA na Yummy. napenda kutuma salam kwa Kongosho, King'asti, Erotica cartura, mito wakiwa huko walipo mida hii.

kuna watu hwa wa muhimu sana kwangu wadogo zangu Eiyer, Mbimbinho platozoom charminglady na Excellent,nawapenda sana
jamani siwez kumsahau mwanagu kifungua mimba, yai langu la kwanza lililochavuchwa na mbegu yako ya kwanza Ronn M.

ujumbe wanaume hasifiwi sura anasifiwa kazi, na tena mwanaume hasifiwi uhandsome anasiwa kwenda bank kudroo na kudeposit.

salam hzi zisindikizwe nawimbo .............kaburi ni mwanzo wa kuingia mbinguni.
 
Last edited by a moderator:
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha

Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.

Ujumbe: uanaume kazi

Wimbo:mkataa pema wa sikinde.

Asante kwa salamu wa siri! Mbona ujumbe mzito kunani tena? Lol!
 
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha

Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.

Ujumbe: uanaume kazi

Wimbo:mkataa pema wa sikinde.

Salamu zimefika.
Nawe unasalimiwa huku kijiweni kwetu.
 
Last edited by a moderator:
hahahah bila kusahau mwanaume hasifiwi ndevu....


thanks ma swtlo, ila leo yaani kila nikikaa nafsi inahamalika manake nakumbukia lile
busu lako la alfajiri ya leo.

miye napenda kutuma salaam za dhati kabisa kwa Asprin popo pale alipo mida hii akiwa na msiri wangu wa ukweli cacico na wake wenzie BADILI TABIA na Yummy. napenda kutuma salam kwa Kongosho, King'asti, Erotica cartura, mito wakiwa huko walipo mida hii.

kuna watu hwa wa muhimu sana kwangu wadogo zangu Eiyer, Mbimbinho platozoom charminglady na Excellent,nawapenda sana
jamani siwez kumsahau mwanagu kifungua mimba, yai langu la kwanza lililochavuchwa na mbegu yako ya kwanza Ronn M.

ujumbe wanaume hasifiwi sura anasifiwa kazi, na tena mwanaume hasifiwi uhandsome anasiwa kwenda bank kudroo na kudeposit.

salam hzi zisindikizwe nawimbo .............kaburi ni mwanzo wa kuingia mbinguni.
 
shemeji wangu wa ukweli upoooooo?
karibu siku ya idd, uje na mkeo gfsonwin, tutoke na Asprin, Yummy cacico na Kongosho twende tukaspendi...


Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha

Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.

Ujumbe: uanaume kazi

Wimbo:mkataa pema wa sikinde.
 
Last edited by a moderator:
Asanteni Kaizer, BADILI TABIA na gfsonwin kwa salamu zenu.

Toka ndani ya mapafu yangu nawatumieni salamu za sikukuu ya Idd el Fitri

Bila kusahau natuma salamu toka mvunguni mwa figo zangu kwa Asprin, Bishanga, Mtoboasiri, jmushi1

Natuma salamu toka katikati ya maini yangu kwa wadada wote wa jf, wamekuwa wakifanya maisha yangu na mwekezaji kuwa marahisi sababu wao ni utalii tosha machoni pangu, keep it up (Minus Kaunga ana King'asti)

Na salamu zangu za mwisho natuma kwa The Boss, Roulette na Mwali popote mliko, ujumbe hivi kweli sialikwi hata futari hadi mfungo unaisha?
 
Last edited by a moderator:
natuma salamu kwa lulu huko huko lupango, natuma salamu kwa dk uli aliepo mafichoni, tatu na mwisho ni kwa amiri jeshi mkuu......nipigie kibao cha "dunia haina wema" wa bahati bukuku......aksante
 
Asante kwa salamu wa siri! Mbona ujumbe mzito kunani tena? Lol!

Haaa mwaJ waala sio mzito ila wa maana. Wa siri wangu nimekumiss huku mpakani ndo ivo tena nasikia mkuu na mwenzie JB watakutana maputo waliongelee hili ili nasi tupate kurudi mjini.
 
Last edited by a moderator:
Haaa mwaJ waala sio mzito ila wa maana. Wa siri wangu nimekumiss huku mpakani ndo ivo tena nasikia mkuu na mwenzie JB watakutana maputo waliongelee hili ili nasi tupate kurudi mjini.
Kaizer bora hao wakuu wa nchi wakutane mapema na kupatana tena iwe kabla ya sikukuu ya Eid ili uwahi kurudi tusherekee pamoja. Mwenzio sijapata gauni la sikukuu ujue. Mke wa Erickb52 ameshaanza mashauzi kisa kaletewa gauni na skuna za sikukuu. Nilienda kwa rafiki zangu Azimio Jipya na Rashid wa Arusha walao wanikopeshe pesa za sikukuu wameninyima eti hawajui kama wewe utarudi salama toka mpakani. Kuomba pesa kwa Boflo mie naogopa huwa anadai vibaya yaani hana simile. Kongosho nae ananinyanyasa na vimaneno vyake eti anasema wewe sio jemadari wala nini. bora tu urudi mjini.
 
Last edited by a moderator:
Kaizer bora hao wakuu wa nchi wakutane mapema na kupatana tena iwe kabla ya sikukuu ya Eid ili uwahi kurudi tusherekee pamoja. Mwenzio sijapata gauni la sikukuu ujue. Mke wa Erickb52 ameshaanza mashauzi kisa kaletewa gauni na skuna za sikukuu. Nilienda kwa rafiki zangu Azimio Jipya na Rashid wa Arusha walao wanikopeshe pesa za sikukuu wameninyima eti hawajui kama wewe utarudi salama toka mpakani. Kuomba pesa kwa Boflo mie naogopa huwa anadai vibaya yaani hana simile. Kongosho nae ananinyanyasa na vimaneno vyake eti anasema wewe sio jemadari wala nini. bora tu urudi mjini.

unanizingua ww....nilipokwambia kwa pm nataka kuonana na ww ulidhani nn.......

nataka kukupa mafweza.....shauri zako, bahati haiji mara 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom