Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha
Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.
Ujumbe: uanaume kazi
Wimbo:mkataa pema wa sikinde.
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha
Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.
Ujumbe: uanaume kazi
Wimbo:mkataa pema wa sikinde.
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha
Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.
Ujumbe: uanaume kazi
Wimbo:mkataa pema wa sikinde.
thanks ma swtlo, ila leo yaani kila nikikaa nafsi inahamalika manake nakumbukia lile
busu lako la alfajiri ya leo.
miye napenda kutuma salaam za dhati kabisa kwa Asprin popo pale alipo mida hii akiwa na msiri wangu wa ukweli cacico na wake wenzie BADILI TABIA na Yummy. napenda kutuma salam kwa Kongosho, King'asti, Erotica cartura, mito wakiwa huko walipo mida hii.
kuna watu hwa wa muhimu sana kwangu wadogo zangu Eiyer, Mbimbinho platozoom charminglady na Excellent,nawapenda sana
jamani siwez kumsahau mwanagu kifungua mimba, yai langu la kwanza lililochavuchwa na mbegu yako ya kwanza Ronn M.
ujumbe wanaume hasifiwi sura anasifiwa kazi, na tena mwanaume hasifiwi uhandsome anasiwa kwenda bank kudroo na kudeposit.
salam hzi zisindikizwe nawimbo .............kaburi ni mwanzo wa kuingia mbinguni.
Hodi hodi jama uwanjani kwa mbali baharini mawimbi yanajipeperusha
Napendaga kutuma salamu kwa papaa Asprin akia fyatanga nq KARIA mbele ya kioo kikubwa, my sweetlo gfsonwin, cacico shemeji yangu mpenzi popote ulipo, Kongosho, Madame B bila kumsahau dogo Erickb52 akiwa anapozwa na jimama. Mpwa wangu mpz Mwali na zomba akiwa jukwaa la siasa, wa siri wangu mwaJ popote ulipo. Aidha sintawasahau Yummy BADILI TABIA ummu kulthum na woote wenye mapnz mema.
Ujumbe: uanaume kazi
Wimbo:mkataa pema wa sikinde.
hahahah bila kusahau mwanaume hasifiwi ndevu....
Asante kwa salamu wa siri! Mbona ujumbe mzito kunani tena? Lol!
Kaizer bora hao wakuu wa nchi wakutane mapema na kupatana tena iwe kabla ya sikukuu ya Eid ili uwahi kurudi tusherekee pamoja. Mwenzio sijapata gauni la sikukuu ujue. Mke wa Erickb52 ameshaanza mashauzi kisa kaletewa gauni na skuna za sikukuu. Nilienda kwa rafiki zangu Azimio Jipya na Rashid wa Arusha walao wanikopeshe pesa za sikukuu wameninyima eti hawajui kama wewe utarudi salama toka mpakani. Kuomba pesa kwa Boflo mie naogopa huwa anadai vibaya yaani hana simile. Kongosho nae ananinyanyasa na vimaneno vyake eti anasema wewe sio jemadari wala nini. bora tu urudi mjini.Haaa mwaJ waala sio mzito ila wa maana. Wa siri wangu nimekumiss huku mpakani ndo ivo tena nasikia mkuu na mwenzie JB watakutana maputo waliongelee hili ili nasi tupate kurudi mjini.
Kaizer bora hao wakuu wa nchi wakutane mapema na kupatana tena iwe kabla ya sikukuu ya Eid ili uwahi kurudi tusherekee pamoja. Mwenzio sijapata gauni la sikukuu ujue. Mke wa Erickb52 ameshaanza mashauzi kisa kaletewa gauni na skuna za sikukuu. Nilienda kwa rafiki zangu Azimio Jipya na Rashid wa Arusha walao wanikopeshe pesa za sikukuu wameninyima eti hawajui kama wewe utarudi salama toka mpakani. Kuomba pesa kwa Boflo mie naogopa huwa anadai vibaya yaani hana simile. Kongosho nae ananinyanyasa na vimaneno vyake eti anasema wewe sio jemadari wala nini. bora tu urudi mjini.
king koooooong....................wape vidonge wana Jf....Natuma Salamu kwa ma friends zangu wote na bila kumsahau boflo!! Dedications! Big boys don't cry(Lucky Dube)