Ahsante mkuu.
Moaaaah thanxieeeeeeeeeeh n u also.
Nimetulia kaka🤣🤣Natuma salamu kwake..
lliedie ujumbe NAKUPENDA SANA. 🤗
Kasie ujumbe tuliza hayo mapengo..😜
Saint Anne ujumbe endelea kuvaa magauni ya yes ndie mwamba..😅
ledada ujumbe yesu anakuja tulia sehemu moja..😅
Shunie ujumbe uache kutafuna vitenge vya shangazi yako..😂
Mshana Jr ujumbe usigombee hata uenyekiti usije tuharibia taifa kwa tunguli..😜
rikiboy ujumbe kikao cha mabaharia kitakuwa saa moja jioni,waambie wajumbe wasisahau ile zana..😎
BAK ujumbe kaa mbali na naniliu..😂
Bado narudi..
NeyoUnataka yaozeee...!!!??
Neyo
We Bibi sijui bibi gani tu..😅Wabhejaa saanaaa bhangoshaa.
Leo nna mahaba kama halua, acha niende nyumbani MMU nikamahabike.
kwani wapo humu mkuu?Ziende kwa
Magufuli
Makonda
Ndungai
Kikwete
Mwinyi
Kagame
Trump
Putin
Na mimi mwenyewe!
Ujumbe, bandu bandu huisha gogo!
Siamini nimesoma komenti zote hakuna hata aliyenisalimia
Kwa hiyo mimi sipo kwenye top five ya mtu yeyote... nafanya nini hapa duniani mimiTatizo mtoa mada kalimit eti mwisho watano
Mie nakusalimia dada
Kwa hiyo mimi sipo kwenye top five ya mtu yeyote... nafanya nini hapa duniani mimi
acha kunilaghai we mtotoMmhh wewe unavyopendwa hauwezi kukosa kwenye top 5 ya watu, sema tu ni vile watu wengi hawajapita kwenye huu uzi na hata Saint Anne hajapita.
Mimi ndiyo nina uhakika sipo kwenye top 5 ya mtu yeyote humu JF, ila ninawapenda watu wengi sana na ningepata nafasi ya kuwataja wote ningewataja.
Yakutosha..😅Bibi Bombaaa....!!
Una kiwi??!!
Yakutosha..😅
Wewe tu uonavyo..😅Togwa itakata....??