Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,244
- 36,297
Wewe tu uonavyo..😅
Basi jipimie.
Angalizo.... usifakamie ukalewa ukashindwa kurudi zizini....
Enjoy!!
Wewe tu uonavyo..😅
Mi sio mapengoBasi jipimie.
Angalizo.... usifakamie ukalewa ukashindwa kurudi zizini....
Enjoy!!
Mi sio mapengo
acha kunilaghai we mtoto
Natuma salamu kwa wafuatao
1.@Dinazarde mpenda umbea namba moja jf
2. Mshana Jr mzee wa busara aliyewahi kutungiwa nyimbo na juma nature
3.@OKW BOBAN SUNZU .huyu jamaa nahisi nimesoma naye chuo kimoja mwaka 1 na darasa 1
4.@Don Clericuzio mwanafunzi wangu wa draft
5.@stable woman .her name explains all
Bora hata wewe, Mimi ndo kabisa, maybe tutajanekumbe jf sina hata rafiki...i was wrong!!
kigoma independent nakusalimia mkuu!!Jamani nioneeni huruma my rafiki zangu kunitaja
Uwiiii!! Tusameheane Mtani kwani kama jana kila nikitaka kushika simu mambo zinakuwa mingi. Lol.1- Shadeeya
2- Depal
3- Chakorii
4- Khantwe
5- madam cute
Ujumbe muache uchoyo wa kutoalika watu sikukuu
Nije kula viporoUwiiii!! Tusameheane Mtani kwani kama jana kila nikitaka kushika simu mambo zinakuwa mingi. Lol.
Karibu Mtani huku madongo kuinama hujachelewa ata. 😀
Na tukilewa tunalala huko hukoNakuja kukupitia hapo mkuu tutoke tukale nyama choma na 🍾🍸
Kula tu havidhuru hivyo🤣🤣Nije kula viporo
Kumeshakucha Mtoto halali na helaNa tukilewa tunalala huko huko