😂😂😂Wa kwanza kabisa ni mimi mwenyewe mfukua makaburi
Salamu zangu za pili zimfikie Field Marshal Mfukua Makaburi akiwa Nyakanazi, njia panda ya kigoma.
Salamu zangu za tatu na za mwisho zimfikie si mwingine bali mtakatifu mfukua makaburi muda huu akiwa na mpenzi wake mtoto mzuri mrefu aliebarikiwa mwili mzuri Grace akiwa anampa blow job. Hakika wanawake wengine wameumbwa ila Grace amebarikiwa.
Mkuu nimefumaniwa huku ndo nipo hapa najiuliza nikimbilie wapi 😂Wahuni Wangu mikono juu🙌 najua tupo pamoja si ndo wakuzikana humu japo msibani kwangu hamtakuja kwani tunaishi kama majambazi😂 ok ok naanza sasa
Salamu za kwanza kwa Mhuni mkwepu jr ujumbe tupo pamoja sana.
Za pili zimfikie ahhh Bujibuji mzee wa siku nyingi
Za tatu ziende kwa cocastic ujumbe Namkubali sana
Za nne Kwa muhuni KENZY ujumbe kila uzi post zangu lazima apost🤣😅
Tano zije kwangu mimi mwenyewe Okwanyo58 ujumbe najipenda sana sana
Mpo wengi ila Napenda niwataje wachache hao nimepata mhadhara kidogo nitakiwa niende kwenye mkutano, Mjumbe wangu atamalizia. Harafu Nalog off😜🏃
Ngifisa ukuthi kuwe sawubona sithandwa sami . Ngibonga uthando nayo yonke injabulo ongipha yona
Hivi wewe ni dume au jike?Tanteeeeeeeeh sanaaaah
mwanakulitafuta mwanakulipata.
salam kama salammtoa mada unamaanisha salam gani tena
Au siomwanakulitafuta mwanakulipata.
salam kama salam hapana asee acha watume wanawake tusalam kama salam
Ulumbilile mu Chi ZuluNgifisa ukuthi kuwe sawubona sithandwa sami . Ngibonga uthando nayo yonke injabulo ongipha yona
Ujumbe nawapenda sana.mkuu hujawapa ujumbe
I salute you ✌️Wahuni Wangu mikono juu🙌 najua tupo pamoja si ndo wakuzikana humu japo msibani kwangu hamtakuja kwani tunaishi kama majambazi😂 ok ok naanza sasa
Salamu za kwanza kwa Mhuni mkwepu jr ujumbe tupo pamoja sana.
Za pili zimfikie ahhh Bujibuji mzee wa siku nyingi
Za tatu ziende kwa cocastic ujumbe Namkubali sana
Za nne Kwa muhuni KENZY ujumbe kila uzi post zangu lazima apost🤣😅
Tano zije kwangu mimi mwenyewe Okwanyo58 ujumbe najipenda sana sana
Mpo wengi ila Napenda niwataje wachache hao nimepata mhadhara kidogo nitakiwa niende kwenye mkutano, Mjumbe wangu atamalizia. Harafu Nalog off😜🏃