Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Kwani ww ukijipendekeza kwa myahudi sisi tuna pungukiwa nn kwenye maisha yetu mpaka sisi tuanze kuumia ?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ww jipendekeze uwezavyo ikiwezekana wape mpaka mkeo.

Kwa nn usiseme kuwa hakuna Ukrisito bila Ukrudi kwa sababu chanzo cha hao Wayahudi ni Ibrahim ambaye asili yake ni mkurdi?
ni kwasababu Yesu mwenyewe alizaliwa kwenye familia ya Kiyahudu,kwenye ardhi ya Uyahudi mali ya wayahudi eneo linaloitwa bethlehem ambalo waarabu walilipora na kufanya lipo chini ya mamlaka ya wapalestina. asili ya Ibrahim ni Uru ya Ukaldayo ambao ni wakurdi kweli na ukiangalia sura za wakurdi ni wekundu kuliko waarabu, you are right. sasa mkataba tulioingia na Mungu ni kutokufanya uadui na uzao wa ahadi wa Ibrahim (sio wakurdi wote) manake wakurdi walikuwa wapagani na hadi leo ni wapagani, wanaabudu dini zao za asili hadi leo ndio maana ISIS walikuwa wanawauwa sana, wala sio waislam. agano la Ibrahim linarithiwa na Isaka (sio ishmael babu yenu), Yakobo (ambaye ndiye Israel). icho ndicho tunachofuata.
 
Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?

Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?

Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?

Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?

Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora

Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya nusu ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?

Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?

Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?

Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali

Kama kupunguza majeshi Gaza ndio kuacha Vita.

Kwanini idadi ya vifo inaendelea kuzidi huko ktk ukanda wa GAZA?

Leo wameingia KHAN YOUNIS wanaendelea kukinukisha.

View: https://x.com/WarMonitors/status/1749472787196944529?s=20
 
Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?

Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?

Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?

Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?

Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora

Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya nusu ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?

Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?

Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?

Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali
Unazo takwimu za, magaidi wa Hamas, walikmatwa na Israel!? Viongozi wa Hamas, Hezbollah waliouliwa kwa drones? IDF/Mossad sio jwtz,
 
Mtu yyt mwenye Imani kuwa akizini , akiua akilawiti, kala rushwa, akibaka kisha weekend akaenda kanisani na kumkabidhi DHAMBI ZOOOTE HIZO YESU
Abdool , stone kisser

Unaelewa kwamba wabusu jiwe Imani yenu ni jewe linafyonza dhambi zenu , kwanini wabusu jiwe hamsomi maandiko yenu?

......bin Ubaid bin Umair that a man said: "O Abu abdur-Rahman, why do I only see you touching these two corners?" He said: "I heard the Messenger of Allah say: 'Touching them erases sins.' And I head him say: 'whoever circumambulates seven times, it is like freeing a slave.'" Sunan an-Nasa'i 2919
 
Khan younis washauliwa wanajeshibwa IDF 6 mpaka sasa na Hamas wanajibu mashambulizi.
Hii vita sijawahi wasikia wabusu jiwe mkisema hamas wameuliwa ni IDF tu wanakufa

Wabusu jiwe kina abdool muwe mnatoa na takwimu za upande wenu
 
Ata nguruwe ni viumbe vyake. Je anapenda Nguruwe?
😂😂😂😂😂😂😂.
Mungu hajasema anachukia nguruwe ila katuharamishia kula nguruwe.
Kama angekua hampendi nguruwe asingempa riziki maana kila kiumbe hai kinaruzukiwa na Mungu.
Ila hata majini ni viumbe wa Mungu mbona ninyi wakristo mnawapinga kuwa sio viumbe wa Mungu?
 
Hamas wanataka mambo yaishe.

Netanyahu anawaambia bado sijaua vyakutosha huko GAza, ngojeni kidogo!
Netanyahu hajakubaliana na masharti yalowekwa na Hamas.
Anachokipinga yeye ni hamas kurudi kuitawala Gaza.
Na yeye Israel anachotaka Hamas isiwe na mamlaka Gaza.
 
Israeli wanataka kufanya kwa HAMAS kile Hitler alichowafanyia wao
Hilo watafanya kwa raia ila sio wanamgambo wa hamas.
Jana usiku tu wameangushwa 6 sijajua mpaka sasa watakua wameangushwa IDF wangapi.
 
Unazo takwimu za, magaidi wa Hamas, walikmatwa na Israel!? Viongozi wa Hamas, Hezbollah waliouliwa kwa drones? IDF/Mossad sio jwtz,
Hakuna hamas alokamatwa .
Waliokamatwa ni raia na IDF ikafanya video staging waonekane km hamas.
Vifo vya hao viongozi vilishalipizwa kisasi katizame Galilee na Mullat na airbase ya IDF mpakani na Lebanon zilivyolipuliwa.
 
Umemaliza au bado unaongea?

Hadi sasa hivi, Jeshi la Israel linamiliki zaidi ya 85% ya Gaza,jeshi la Israel Tayari limejua walipofichwa mateka,wapo chini ya mahandaki,na magaidi ya HAMAS yametishia kuwaua wote endapo nguvu itatumika kuwaokoa.

Kwa sasa jeshi Takatifu la Israel lipo Al Yunus baada ya kuwaua HAMAS Gaza kama mbu,Iran aliyekuwa kawatuma HAMAS na wewe ulikuwa ukishinda humu kumshangilia,kaufyata mkia, Wapalestina wamekufa kama inzi kwa upumbavu wao wa kuyahifadhi magaidi ya HAMAS.

Tunaua nyoka wa HAMAS na mashimo yao tunayachoma moto na kuyafukia,kwa hiyo basi yoyote aliyemo ndani ya mashimo ya nyoka wa HAMAS lazima afe.
Jeshi takatifu la Israeli?

Lisilojua jeshi la palestrina lilipo na kuua vitoto visivojua a b c
 
85 unaijuwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wamejuwa walipofichwa mateka[emoji23] eti watawauwa wote lete ushahidi wa unachoongea usiniletee story za kwenye mabanda ya mabati hapa
Acha haraka ustaadh, kwani hamas wanapigana na Israel au Israel ndo wanaowapiga hamas? make mie kila siku nawaona mkiandamana kila kona ya dunia kuomba ceasefire hivi hiyo inamanisha nini? hujitambui tulia acha papara IDF wako kazini wewe weka zako macho uone mwisho wake
 
Una ushahidi gani kama wanajificha nyuma ya raia?
Kama Israel imeambiwa ithibitishe imeshindwa wewe ni nani kuleta hayo madai?
Wamefanya wanachofanya IDF kila mwaka kuteka watoto wa kipalestina na kuwaeka rumande tena watoto chini ya miaka 14.
Tena wanawaonea huruma litoto la gaidi ni li gaidi

Wabusu jiwe mnapaswa muelewe Dunia haitaki upuuzi wenu mlio letewa na pedophile Muhammad, na wazi unajua muanzilishi wa ugaidi ni pedophile Muhammad

Muanzilishi wa uislam ndie alianzisha ugaidi

Msome kwenye maandiko ya waislamu anajitaja

Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
 
Dunia imebadilika. na tushukuru electorate ya Marekani imebadilika, maana kama ingekuwa miaka 25 iliyopita, Gaza ingekuwa mchanga..Wamarekani hawako susceptible to propaganda kama miaka ya nyuma, majority walipinga vita ya Ukraine pamoja na media zote kupiga porojo, na majority hawakubali ujinga anaofanya Israel sasa hivi. America ndio wafadhili wakubwa wa Israel, If the polling showed otherwise kungekuwa na vita sasa hivi amini hivyo
 
For that reason unafahamu kwanini China walikuwa wakivunja misikiti ili wajenge public toilets?

https://www.wionews.com/world/chinese-authorities-demolish-mosque-in-xinjiang-build-public-toilet-321313
China kabla ya kuanza kuvunja misikiti kwanza walianza kuvunja makanisa kwa visingizio mbali mbali labda ww haufuatilii
Wakristo wa china wanatumia biblia iliyo editiwa na serikali ya china na kuweka maandiko yanayo itukuza serikali ya china maana biblia halisi imepigwa marufuku, nchini china mapadiri na maasikofu wote wanao ongoza ibada wana chaguliwa na serikali ya china na sio papa.
Na hakuna Ukrisito unao ruhusiwa nchi china tofauti na ukatoliki.

Alafu china haijapiga marufuku waisilam bali inabomoa baadhi ya misikiti kwa madai ya kujengwa kinyume cha sheria na maeneo yasiyo sitahili , kama wana ajenda ya siri wao ndo wanajua lakini hawajaiweka wazi.

Lakini nchini Urusi ni marufuku kabisa kuhubili itikadi za kirokole ndani ya nchi hiyo.
.
 
Umemaliza au bado unaongea?

Hadi sasa hivi, Jeshi la Israel linamiliki zaidi ya 85% ya Gaza,jeshi la Israel Tayari limejua walipofichwa mateka,wapo chini ya mahandaki,na magaidi ya HAMAS yametishia kuwaua wote endapo nguvu itatumika kuwaokoa.

Kwa sasa jeshi Takatifu la Israel lipo Al Yunus baada ya kuwaua HAMAS Gaza kama mbu,Iran aliyekuwa kawatuma HAMAS na wewe ulikuwa ukishinda humu kumshangilia,kaufyata mkia, Wapalestina wamekufa kama inzi kwa upumbavu wao wa kuyahifadhi magaidi ya HAMAS.

Tunaua nyoka wa HAMAS na mashimo yao tunayachoma moto na kuyafukia,kwa hiyo basi yoyote aliyemo ndani ya mashimo ya nyoka wa HAMAS lazima afe.


Jeshi takatifu la Israel ndio hili lililobandikwa papuchi


View attachment 1705988707362.jpeg



1705988652594.jpeg
 
usipende kujifariji kwa mambo ambayo hayaongezi chochote kwako
Wayahudi na wakristo Mungu wao ni mmoja upende au usipende huo ndo ukweli
Ww Mungu wenu si ni Yesu?
 
Back
Top Bottom