Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Nishafunga mjadala ndugu.
Leta mjadala mpya.
mnataka wayahudi wasipiganie chao eti kwa kisingizio kuwa sio wayahudi wenyewe.

haya basi waambieni watu wa gaza waondoke kwa kuwa wayahudi asilia wanataka kurudi kwenye ardhi yao.
 
Kwani kuna shiida mtu akiabudu anacho kiamini?

Kwanini Muagizwe kuwaua wasio amini Mnachokiamini?
View attachment 2879981
Qur'an ayah zake hushushwa kwasababu .
Hiyo ayah ilishuka kipindi cha vita dhidi ya majeshi ama dola za wapagani walokua wakiwapinga na kuwakandamiza waislam.
Mungu ndio kashusha hizo ayah kuamrisha waislam wajitetee.
Kama ingekua tumeamrishwa kuua hovyo basi Mtume asingewazuia maswahaba zake kupigana na wapagani wa Makkah waliozuia waislam kuhiji.
Na sheria za vita huruhusiwi kuua raia asiyejihami,wanawake,watoto,wazee na wala kuharibu mali.
 
mnataka wayahudi wasipiganie chao eti kwa kisingizio kuwa sio wayahudi wenyewe.

haya basi waambieni watu wa gaza waondoke kwa kuwa wayahudi asilia wanataka kurudi kwenye ardhi yao.
Huo mjadala nishaufunga.
Unaleta mihemko ya ufia dini badala ya facts sina cha kujadili hapo.
 
Qur'an ayah zake hushushwa kwasababu .
Hiyo ayah ilishuka kipindi cha vita dhidi ya majeshi ama dola za wapagani walokua wakiwapinga na kuwakandamiza waislam.
Mungu ndio kashusha hizo ayah kuamrisha waislam wajitetee.
Haija andikwa piganena na walio wachokoza.

Imeandikwa piganeni na wasio amini dini ya allah kwa maana hata mkristo/myahudi akiwa ajakuchokoza ili hali haamini dini ya allah basi una haki ya kumpiga na kumlipisha jizya.
 
Ila hii vita hata ikiisha sasa hivi Hamas siku nyingine watajifikiria mara mbili kuanzisha ugomvi wa aina yoyote na Israel.......
Ninachowapendea Israel huwa hawaombi ushauri kwa mtu unapofika muda wa shambulizi la kigaidi.

Hata vita ikiisha leo alafu kesho Hamas waingie Israel kuua watu 2,000 basi nao wataanzisha mashambulizi kuua watu 200,000.

Nasikia hata nao wanao fund Hamas wanachoka kuona adui yao anakuwa funded na super economy (America).
 
Nimeshakuona kwenye nyuzi nyingi una-overeacting sana na wako wameshakujua ndo maana wanakuchokoza
kwani akiingiza swala la udini wewe inakupunguzia nini kwenye maisha yako ya kila siku
Usiwe na emotion sana
Binti kumbe unanifuatilia eeh! Haya usichoke endelea.
 
Wayahudi sio wakristo wenzetu.

Mungu wetu ni Mungu wa Upendo, ndio maana alituachia ujumbe kuwa Tupendane kama alivyo tupenda (tuwapende hata maadui zetu ambao ni hao Jews).

Hukumu ni ya Mungu, Mwanadamu hana mamlaka ya kumhukumu mwanadamu mwingine kwa kosa alilofanya.
Naona akili zako umeamua kuziweka kwenye mfuko wa shati hujui hata unaandika nini hapa.
 
Sasa hao raia nao ni magaidi. Israel don't sort them kill them all.

YESU NI MUNGU.

IN JESUS WE MUST TRUST AND WORSHIP
Upo sahihi sana....Unajua kuna maarifa fulani mtu ujipatia akisoma BIBLIA.....Mfano Hesabu hii ya YESU NI MUNGU nakwambia Bila msaada wa Mungu huwezi ambua kitu.
 
Haija andikwa piganena na walio wachokoza.

Imeandikwa piganeni na wasio amini dini ya allah kwa maana hata mkristo/myahudi akiwa ajakuchokoza ili hali haamini dini ya allah basi una haki ya kumpiga na kumlipisha jizya.
Kijana kwetu sisi asiyeamini ni yule anaetupinga na kutupiga vita.
Madame kama wewe ni mtu wa amani na hautupingi basi wewe hauna tatizo kwetu.
 
Wayahudi sio wakristo wenzetu.

Mungu wetu ni Mungu wa Upendo, ndio maana alituachia ujumbe kuwa Tupendane kama alivyo tupenda (tuwapende hata maadui zetu ambao ni hao Jews).

Hukumu ni ya Mungu, Mwanadamu hana mamlaka ya kumhukumu mwanadamu mwingine kwa kosa alilofanya.
Upo sahihi ndugu.......unakuta mtu anakwambia eti inamaana wewe haujui kuwa Jews sio wakristo sasa unatwambia sisi wakati Biblia inajieleza kila kitu.
NDiyo maana hawawezi kuelewa hata Yesu mara ya pili atakuja kufanya nini?
Wao wamekalia matusi tu na hapo ndiyo kipimo kidogo cha maadili ya dini yao jinsi yalivyo.
 
Kijana kwetu sisi asiyeamini ni yule anaetupinga na kutupiga vita.
Madame kama wewe ni mtu wa amani na hautupingi basi wewe hauna tatizo kwetu.
Siokweli.

Unaelewa nini maana ya maneno ya Blue.
12.PNG
 
Back
Top Bottom