Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Israel anakubali proposal zao kwasababu ana nia ya kuokoa raia wake walio mateka tu na wala sio kingine. ukiwa unapigana na kichaa aliyenyakua mtoto wako unatakiwa kwenda kwa akili, sometimes jifanye unataka kupatana naye hadi pale utakapompata mtoto wako, ukienda kichwakichwa anaweza kuchinja mtoto wako hivyo hata kama wewe utamfyeka yule adui lakini utakuwa umepoteza mtoto wako. ndicho kinachoendelea kule. hamas silaha yao kubwa ni mateka na wanajua israel wanapenda sana raia wao, hamas hawapendi ndio maana hata wapalestina wanaokimbia maeneo ya vita hamas walikuwa wanawashambulia kwa risasi kwasababu walipenda wabaki pale ili wawe kama ngao.
 
Mm nilidhani naongea na mtu mwenye akili kumbe aongea na kilaza?
Mpinzani gani huyo anaye amini kuwa Wayahudi wana takiwa kuuawa wote ?

Kwanza una elimu gani nisiwe naongea na tahira hapa ?,labda ngoja nikupe elimu kidogo ikusaisidie kutoa ujinga ulio jaa kichwani mwako.

Kwanza kuna vitu vitatu ambavyo ww kwa akili zako za kirokole unadhani ni kitu kimoja hali ya kuwa ni vitu tofauti na havina uhusiano wowote navyo ni, taifa la Israeli,watu wenye asili ya Uyahudi, na dini ya kiyahudi hivi ni vitu vitatu tofauti kabisa.

Si kila raia wa Israel ni myahudi, wala si kila myahudi ni raia wa Israel ,na si kila myahudi ana amini kwenye dini ya kiyahudi.

Hamas wanapigana na taifa la Israel sio Wayahudi hicho ndo unacho takiwa kujua.
Hamas Wanataka kuwaua wayahudi wote
 
Kaka shida ninyi mnapenda ufia dini utawalemaza.
Hata sisi waislam tunawakubali wayahudi ila sio hao wayahudi wasasa wazayuni.
Hao wazayuni wanatamka wazi Israel hawana fungamano na yesu wala ukristo.
Kuna video kibao zinarushwa ila huwa hamfuatilii habari.
Nimemaliza mjadala na wewe kwaheri.
acha ushamba, tangu lini katika historia ya wayahudi waliwahi kumkubali Yesu? tangu Yesu mwenyewe alipokuwepo walimkataa, still hakuna ukristo bila uyahudi ndio maana hata utugombanishe nao vipi hatuwezi kuwachukia. wayahudi kwetu sisi tumeamriwa kuwapenda hata kama hawatupendi kwasababu ni amri ya Mungu kufanya hivyo. na wala hatuhitaji watupende wala watushukuru, tunafanya hivyo bila kutegemea chochote toka kwao na hatufanyi kwa ajili yao ila kwa Bwana. kawaambie na wenzio wote huko kwenye vijiwe vya kahawa na kashata.
 
Hakuna sio kweli hizo caliphate ziliwalazimishe wakristo walipe sadaka na kuwafanyia fujo za kila aina ndo maana mpaka leo hii middle east ina wakristo wachache sana wengi walikimbilia europe

alafu mwaka 1947 hao warabu walikua chini ya wakoloni kwa hiyo kuishi na wayahudi ilikua ni lazima sio option
Hakuna hilo suala.
Fuatilia historia ya Mamluk Sultanate na Ottoman empire kwanini Armenians,Serbians,Estonians,Greece,Albanese wamezaliana sana Uturuki na wanaihusudu uturuki mpaka leo???
Mataifa mengi tu ya kiarabu yalishapata uhuru huo mwaka.
Kwahiyo hakukuwa na shinikizo la kukaa na wazayuni na wala hawakuanzisha fujo dhidi ya wazayuni ila 1948 Israel ilitia mguu mpaka syria gollan heights tena kijeshi.
 
acha ushamba, tangu lini katika historia ya wayahudi waliwahi kumkubali Yesu? tangu Yesu mwenyewe alipokuwepo walimkataa, still hakuna ukristo bila uyahudi ndio maana hata utugombanishe nao vipi hatuwezi kuwachukia. wayahudi kwetu sisi tumeamriwa kuwapenda hata kama hawatupendi kwasababu ni amri ya Mungu kufanya hivyo. na wala hatuhitaji watupende wala watushukuru, tunafanya hivyo bila kutegemea chochote toka kwao na hatufanyi kwa ajili yao ila kwa Bwana. kawaambie na wenzio wote huko kwenye vijiwe vya kahawa na kashata.
We sina cha kukujibu pita tu kaka.
Maana nakufahamu.
 
Wayahudi huyo yahweh hawamtambui kaka.
Acha uongo.

Wanamtambua vizuri tu ila iko sababu ya wao kuacha kutumia neno YAHWEH na kutimia ELOHIM.

1. Judaism ulianza kuwa popular ulimwenguni.
2. Pia ku-demostrate ukuu wa Mungu wa Israel baada ya kufanyiwa yote waliyopitia.

YAHWEH ni jina alilofunuliwa Musa ambalo linamaanisha Mimi niko Ambaye Niko.
 
Hamas Wanataka kuwaua wayahudi wote
Kama uliwahi kumsikia kiongozi wa Hamas aliwahi kusema hawana shida na dini wala wana wa Israel ila shida ni serikali kandamizi ya Israel.
Kipindi Netanyahu alienguliwa madarakani kwa kujibu shutuma za rushwa kiongozi alikua Yair Lapid hakukua na mzozo wapalestina na waisrael waliishi kwa raha mpaka kuna waisrael wengi waliwekeza Gaza na kuoana na waGaza.
Kwasababu Yair alikua na diplomasia safi sana.
 
Acha uongo.

Wanamtambua vizuri tu ila iko sababu ya wao kuacha kutumia neno YAHWEH na kutimia ELOHIM.

1. Judaism ulianza kuwa popular ulimwenguni.
2. Pia ku-demostrate ukuu wa Mungu wa Israel baada ya kufanyiwa yote waliyopitia.

YAHWEH ni jina alilofunuliwa Musa ambalo linamaanisha Mimi niko Ambaye Niko.
😂😂😂😂😂😂 Dooh!
Wayahudi wa kizayuni hawa sio sawa na wakale kijana.
Wakizayuni hawamtambui unaemtaja kijana.
Mie ngoja nifunge huu mjadala.
 
Hamas Wanataka kuwaua wayahudi wote
Ili iweje na wapate faida gani?
Hamas inapigana na taifa la Israel linalo kalia ardhi zao kwa mabavu na si Wayahudi, kwa sababu kuna mamilioni ya Wayahudi duniani ambao sio raia wa Israel na wala hawana uhusiano wowote na Israel.
Na ndio maana Hamas hajawahi kwenda Misri na kuwalenga wayahudi walioko misiri.

Jaribuni kusoma na kujielimisha na sio kushinda kwenye hivyo vijikanisa vyenu mkikalilishwa kutoa mapepo na wachungaji wenu.
 
acha ushamba, tangu lini katika historia ya wayahudi waliwahi kumkubali Yesu? tangu Yesu mwenyewe alipokuwepo walimkataa, still hakuna ukristo bila uyahudi ndio maana hata utugombanishe nao vipi hatuwezi kuwachukia. wayahudi kwetu sisi tumeamriwa kuwapenda hata kama hawatupendi kwasababu ni amri ya Mungu kufanya hivyo. na wala hatuhitaji watupende wala watushukuru, tunafanya hivyo bila kutegemea chochote toka kwao na hatufanyi kwa ajili yao ila kwa Bwana. kawaambie na wenzio wote huko kwenye vijiwe vya kahawa na kashata.
Wanataka tuwachukie kama Mungu wao alivyo waagiza kufanya Chuki dhidi ya wengine Ulimwenguni.
 
Wanataka tuwachukie kama Mungu wao alivyo waagiza kufanya Chuki dhidi ya wengine Ulimwenguni.
Uislam haujawahi kufundisha kumchukia mtu.
Bali uislam umefundisha kuweka mizani ya haki sawa kulingana na kila mtu anavyostahiki.
Mumewekewa mpaka video wayahudi wa kizayuni wanaukana ukristo na Yesu kama hamtaki kuelewa is up to you.
Nimefunga mjadala.
 
😂😂😂😂😂😂 Dooh!
Wayahudi wa kizayuni hawa sio sawa na wakale kijana.
Wakizayuni hawamtambui unaemtaja kijana.
Mie ngoja nifunge huu mjadala.
Unataka kusema kuwa wahayudi wakale ndio wapi hao?

🤣 🤣
 
acha ushamba, tangu lini katika historia ya wayahudi waliwahi kumkubali Yesu? tangu Yesu mwenyewe alipokuwepo walimkataa, still hakuna ukristo bila uyahudi ndio maana hata utugombanishe nao vipi hatuwezi kuwachukia. wayahudi kwetu sisi tumeamriwa kuwapenda hata kama hawatupendi kwasababu ni amri ya Mungu kufanya hivyo. na wala hatuhitaji watupende wala watushukuru, tunafanya hivyo bila kutegemea chochote toka kwao na hatufanyi kwa ajili yao ila kwa Bwana. kawaambie na wenzio wote huko kwenye vijiwe vya kahawa na kashata.
Kwani ww ukijipendekeza kwa myahudi sisi tuna pungukiwa nn kwenye maisha yetu mpaka sisi tuanze kuumia ?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ww jipendekeze uwezavyo ikiwezekana wape mpaka mkeo.

Kwa nn usiseme kuwa hakuna Ukrisito bila Ukrudi kwa sababu chanzo cha hao Wayahudi ni Ibrahim ambaye asili yake ni mkurdi?
 
Israel anakubali proposal zao kwasababu ana nia ya kuokoa raia wake walio mateka tu na wala sio kingine. ukiwa unapigana na kichaa aliyenyakua mtoto wako unatakiwa kwenda kwa akili, sometimes jifanye unataka kupatana naye hadi pale utakapompata mtoto wako, ukienda kichwakichwa anaweza kuchinja mtoto wako hivyo hata kama wewe utamfyeka yule adui lakini utakuwa umepoteza mtoto wako. ndicho kinachoendelea kule. hamas silaha yao kubwa ni mateka na wanajua israel wanapenda sana raia wao, hamas hawapendi ndio maana hata wapalestina wanaokimbia maeneo ya vita hamas walikuwa wanawashambulia kwa risasi kwasababu walipenda wabaki pale ili wawe kama ngao.
Ila hii vita hata ikiisha sasa hivi Hamas siku nyingine watajifikiria mara mbili kuanzisha ugomvi wa aina yoyote na Israel.......
 
Uislam haujawahi kufundisha kumchukia mtu.
Kwani kuna shiida mtu akiabudu anacho kiamini?

Kwanini Muagizwe kuwaua wasio amini Mnachokiamini?
11.PNG
 
Ila hii vita hata ikiisha sasa hivi Hamas siku nyingine watajifikiria mara mbili kuanzisha ugomvi wa aina yoyote na Israel.......
Hawafikirii ng'oo kaka.
Hamas washazoea tena kama wataanzisha vurugu tena basi wataanzisha kwa mtindo mpya maana toka hamas iumbwe safari hii ndio imefanikiwa kuwaonja haswa haswa waisrael.
Hivyo huwenda hiyo ikawa fighting spirit siku zijazo.
 
Wanataka tuwachukie kama Mungu wao alivyo waagiza kufanya Chuki dhidi ya wengine Ulimwenguni.
Kwani nyinyi mkijipendekeza kwa wayahudi sisi tunapungukiwa na nn kwenye maisha yetu?
Nyinyi mkitaka nendeni kabisa mlambe hata mavi yao kabisa ili kudhihirisha upendo wenu kwao [emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3].

Kumbe ndo maana Urusi na nchi nyingi za Ulaya mashariki ziliupiga marufuku urokole kumbe waliona mbali kuwa urokole unamfanya mtu kuwa mpumbavu.
 
Back
Top Bottom