Khan younis washauliwa wanajeshibwa IDF 6 mpaka sasa na Hamas wanajibu mashambulizi.Kama kupunguza majeshi Gaza ndio kuacha Vita.
Kwanini idadi ya vifo inaendelea kuzidi huko ktk ukanda wa GAZA?
Leo wameingia KHAN YOUNIS wanaendelea kukinukisha.
Kama bajeti imeanza kukata kwa Israel hivi hujui kama itawawia ngumu kuendesha vita kama mwanzo?
Vifo vinavyoongezeka ni vya raia sio vya hamas kijana mdogo.