kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?
Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?
Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora
Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya nusu ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?
Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?
Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?
Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali
Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?
Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?
Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora
Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya nusu ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?
Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?
Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?
Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali