jumba adebayor
Member
- Jan 25, 2018
- 30
- 25
YAWHELOHIM.
YAWHELOHIM.
Ndio Mungu wako huyo?
Ndio.YAWH
Nyie ya kwenu inahalalisha kabisa hayo matusi unayoyasema.Upo sahihi ndugu.......unakuta mtu anakwambia eti inamaana wewe haujui kuwa Jews sio wakristo sasa unatwambia sisi wakati Biblia inajieleza kila kitu.
NDiyo maana hawawezi kuelewa hata Yesu mara ya pili atakuja kufanya nini?
Wao wamekalia matusi tu na hapo ndiyo kipimo kidogo cha maadili ya dini yao jinsi yalivyo.
Huwezi kuelewa lugha ya UPENDO kwasababu kwenye msaafu Allah hajawahi kutamka kuwa Anawapenda.Naona akili zako umeamua kuziweka kwenye mfuko wa shati hujui hata unaandika nini hapa.
Wewe ni wakusikitikiwa tu aisee.Ndio.
Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?
Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?
Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora
Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?
Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?
Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?
Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali
Unajua wewe hujui hata unaandika nini ndio maana sitaki kutumia nguvu kukuelewesha coz akili ya kuelewa huna,Huwezi kuelewa lugha ya UPENDO kwasababu kwenye msaafu Allah hajawahi kutamka kuwa Anawapenda.
Kwanini nyinyi mnajulikana kwa matusi.Kwani nyinyi mkijipendekeza kwa wayahudi sisi tunapungukiwa na nn kwenye maisha yetu?
Nyinyi mkitaka nendeni kabisa mlambe hata mavi yao kabisa ili kudhihirisha upendo wenu kwao [emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3].
Kumbe ndo maana Urusi na nchi nyingi za Ulaya mashariki ziliupiga marufuku urokole kumbe waliona mbali kuwa urokole unamfanya mtu kuwa mpumbavu.
Ukiambiwa ku adopt unaelewa nini?Siokweli.
Unaelewa nini maana ya maneno ya Blue.
Unaelewa nini ukiambiwa maana ya kuadopt???
Ukiambiwa ku adopt unaelewaSiokweli.
Unaelewa nini maana ya maneno ya Blue.
Matusi ni utashi wa mtu haihusiani dini kijana.Upo sahihi ndugu.......unakuta mtu anakwambia eti inamaana wewe haujui kuwa Jews sio wakristo sasa unatwambia sisi wakati Biblia inajieleza kila kitu.
NDiyo maana hawawezi kuelewa hata Yesu mara ya pili atakuja kufanya nini?
Wao wamekalia matusi tu na hapo ndiyo kipimo kidogo cha maadili ya dini yao jinsi yalivyo.
Acha ushabiki ile vita israel ni aibu tu ila amefeli vibaya, malengo yalikuwa mawiliUmemaliza au bado unaongea?
Hadi sasa hivi, Jeshi la Israel linamiliki zaidi ya 85% ya Gaza,jeshi la Israel Tayari limejua walipofichwa mateka,wapo chini ya mahandaki,na magaidi ya HAMAS yametishia kuwaua wote endapo nguvu itatumika kuwaokoa.
Kwa sasa jeshi Takatifu la Israel lipo Al Yunus baada ya kuwaua HAMAS Gaza kama mbu,Iran aliyekuwa kawatuma HAMAS na wewe ulikuwa ukishinda humu kumshangilia,kaufyata mkia, Wapalestina wamekufa kama inzi kwa upumbavu wao wa kuyahifadhi magaidi ya HAMAS.
Tunaua nyoka wa HAMAS na mashimo yao tunayachoma moto na kuyafukia,kwa hiyo basi yoyote aliyemo ndani ya mashimo ya nyoka wa HAMAS lazima afe.
Niliwahi kuandika humu:Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?
Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?
Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora
Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?
Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?
Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?
Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali
Jamaa akili zako fupi sana.Umekunywa uji?Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?
Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?
Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?
Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora
Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?
Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?
Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?
Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali
Hajafanikiwa hata mojaHalafu malengo mengine umetudanganya tu.
Bwana Benyamin Netanyahu amebainisha malengo makuu ya kuivamia GAZA ambayo ni mawili.
1. kuokoa mateka.
2. kuharibu mifumo na miundombinu, na kutokomeza HAMAS.
LINK:-
(https://www.theguardian.com/world/2023/oct/31/israel-is-conducting-dangerous-urban-warfare-but-its-ultimate-goals-remain-uncertain?ref=upstract.com)
Hayo malengo mengine umeyaongezea wewe.
Ata nguruwe ni viumbe vyake. Je anapenda Nguruwe?Huo msaafu wewe umeusoma wote na ukauelewa na ukajua kua Allah hakusema anawapenda viumbe vyake?
Hawahitaji kufanikiwa katika lolote.Hajafanikiwa hata moja
Pangua hoja, sio kutukana tu.Hebu punguza upumbavu kijana, unaonekana zuzu tu hapa kwa wenye kuijua dini,ni bora upige kimya tu ili kuuficha upumbavu wako.
Hamas wanataka mambo yaishe.
Wa kusikitikiwa ni wewe unayeabudu Mungu mwenye kuwaaagiza kuwachukia wengine.Wewe ni wakusikitikiwa tu aisee.