Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Hamna lolote.
Ndio kwanza IDF wanapunguza majeshi Gaza kwaajili ya kupunguza gharama za uendeshaji vita.

Kama kupunguza majeshi Gaza ndio kuacha Vita.

Kwanini idadi ya vifo inaendelea kuzidi huko ktk ukanda wa GAZA?

Leo wameingia KHAN YOUNIS wanaendelea kukinukisha.
 
Pia mpaka sasa hakuna dalili ya mateka kujulikana walipo asahv hapa natizama aljazeera Hamas na IDF wanajibizana mashambulizi makali sana northern Gaza.
Ni suala la muda kufahamika kuhusu mateka walipo.

Ila kwasasa acha waendelee kuzudusha kiwango cha mauaji gaza ili wakiwapata mateka wawe pia wame-make statement ya mfano ktk mioyo ya watu wa Gaza.
 
85 unaijuwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wamejuwa walipofichwa mateka[emoji23] eti watawauwa wote lete ushahidi wa unachoongea usiniletee story za kwenye mabanda ya mabati hapa
Wewe una Ushahidi na ulichoongea hapa?
Fatilia Television ya Waislamu wenzako ya Aljazeera ndo ubishane nayo
 
....kusitishwa kwa vita vile vya siku sita ilikuwa sababu za kiuchumi zaidi dhidi ya Waarbu kuliko kukosekana kwa dhamira yakupigana vita?

Tafakari, hivi kwanini kaeneo kadogo tu kama Gaza liliovamiwa na Taifa linalosadikika kuwa na ukuu, lisishikiliwe ndani ya Siku 100? tatizo ni nini Haswa?

Israel itakuwa na madeni makubwa sana baada ya vita hizi-pamoja na kuwatia ulemavu na umasikini ndugu zao wakiPalestina.
 
Ndio maana nakwambia huna akili,hujui hata kuandika kwanza,

Una ulokole wa kifala sana.
Usikimbilie matusi.

Tumia hoja kama kweli una hoja.

Mafala ni wale wanao unga mkono wabakaji na wauaji walio vamia nchi ya watu oktoba 7 kwa kisingizio kuwa ni wapigania uhuru.
 
Punguza mihemko na jazba na ufikirie kwa makini kabla ya kuhemka na kuandika kwa kuwawazia magaidi.
Jiulize Hamas pamoja na kusaidiwa na magaidi wenzao wahuth, hizballa wao wamewafanya nini Waisrael.
Wamekufa watoto wa magaidi wangapi? Wake zao wangapi? Dada zao wangapi, wazazi wao wangapi?
Kwa taarifa yako Israel inatambua wote waliopo gaza ni magaidi na ndio maana wanawaua bila kujali umuri wala jinsia. Wao wameua Waisrael wangapi?
Nchi za wafia dini mnaongozwa na jazba ndio maana mkigonganishwa vichwa mnauana wenyewe kwa wenyewe na kubakiza nchi zenu magofu, angalia Syria, Iraq, Afghanistan, Libya, nk hazitokuja kusimama kamwe.
 
Ni suala la muda kufahamika kuhusu mateka walipo.

Ila kwasasa acha waendelee kuzudusha kiwango cha mauaji gaza ili wakiwapata mateka wawe pia wame-make statement ya mfano ktk mioyo ya watu wa Gaza.
Huwezi ku instill fear kwa hawa jamaa.
Raia wenyewe kuanzia Westbank mpk Gaza wanasema kheri kufa kuliko kuteseka.
IDF vifo vinazidi ndani ya masaa 48 kuanzia vifo 187 mpk vifo 196 vya wanajeshi.
Na hamas hadi sasa wanajibu mashambulizi hapo Khani Younis.
 
Usikimbilie matusi.

Tumia hoja kama kweli una hoja.

Mafala ni wale wanao unga mkono wabakaji na wauaji walio vamia nchi ya watu oktoba 7 kwa kisingizio kuwa ni wapigania uhuru.
Unaona sasa ulivyo kua mpumbavu? Vitoto kama wewe vinafikiri matatizo ya Israel na Palestina yameanza october 7

Mchukue mumeo nenda kwa Papa mkabarikiwe coz Papa ameruhusu,hii mada ni kubwa kuliko uwezo wako wa akili.
 
Sidhani kama israel kashindwa , vita ya kupigana na mtu anyetumia rai kama ngao ni ngumu sana
Hilo unaloleta kama madai Israel wameshindwa kuthibitisha madai.
Maana kwa hao raia waliowaua hakuna hamas au silaha yake iliopatikana.
Hamas wapo Northern Gaza IDF inapiga central na South kutafuta nini?
 
Usikimbilie matusi.

Tumia hoja kama kweli una hoja.

Mafala ni wale wanao unga mkono wabakaji na wauaji walio vamia nchi ya watu oktoba 7 kwa kisingizio kuwa ni wapigania uhuru.
Mtu yyt mwenye Imani kuwa akizini , akiua akilawiti, kala rushwa, akibaka kisha weekend akaenda kanisani na kumkabidhi DHAMBI ZOOOTE HIZO YESU basi uwezo wa kuelewa kitu chochote kibaya kuhusu wayahudi HAIWEZEKANI.

Yaani Piga ua.

Hata akimkuta myahudi analawiti mtoto wake Atasema macho yake hayako sawa labda yule myahudi alikuwa anamfanyia tu maombi matakatifu mwanae au anamtoa majini yaliompitia ya waislamu .

Kwa imani yenu Hilo ni TAIFA TEULE .

Toka lini Taifa teule LIKAKOSEA?
[emoji1787][emoji1787]
 
Unaona sasa ulivyo kua mpumbavu? Vitoto kama wewe vinafikiri matatizo ya Israel na Palestina yameanza october 7

Mchukue mumeo nenda kwa Papa mkabarikiwe coz Papa ameruhusu,hii mada ni kubwa kuliko uwezo wako wa akili.
Leo mbona umevurugwa?

Au hukupata mtu wa kumnyonya mate kama mudi alivyo wanyonya mate na mb** wakina huseina na hassan.?
 
Mtu yyt mwenye Imani kuwa akizini , akiua akilawiti, kala rushwa, akibaka kisha weekend akaenda kanisani na kumkabidhi DHAMBI ZOOOTE HIZO YESU basi uwezo wa kuelewa kitu chochote kibaya kuhusu wayahudi HAIWEZEKANI.

Yaani Piga ua.

Hata akimkuta myahudi analawiti mtoto wake Atasema macho yake hayako sawa labda yule myahudi alikuwa anamfanyia tu maombi matakatifu mwanae au anamtoa majini yaliompitia ya waislamu .

Kwa imani yenu Hilo ni TAIFA TEULE .

Toka lini Taifa teule LIKAKOSEA?
[emoji1787][emoji1787]
Jitahidi kusoma biblia ufahamu maana ya Yesu kufanyika ondoleo la dhambi.

Yes, hata mkatae au mkubali Israel ni taifa teule la kristu.

Haimaanishi kuwa wakichokozwa wakae kimya, hapana wana wajibu wa kujilinda kwa silaha na upanga.
 
Back
Top Bottom