Tulipende Taifa letu na Rais wetu ili Taifa lipate Baraka za Mungu

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,188
11,221
Leo nazungumzia upendo kwa Taifa pamoja Rais wetu.
Nilazima Taifa letu kwanza ndio iwe ibada yetu sisi wa Tanzania na jambo la pili ni Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano na yule wa Zanzibar. Jamani tuwapende mambo mazuri yatatokea napenda kuwakumbusha tupunguze midomo na Tupunguze maneno mengi yenye ukosoaji ambao sio wenye Tija kwa Taifa na hata ustawi wa jamii zetu. Tupambane na wabadhirifu na sio kauli za Rais. Rais ni binadam kama sisi hivyo staha nikitu muhimu sana.
Mwisho niwatakie Jp njema. Mungu ibariki Tanzania na Serikali yake. Amen
 
Baraka

Kuna Baraka za Isaka za Ahadi

Kuna Baraka za Ishmael kufanywa Taifa kubwa

Kuna Baraka za Israel Kuwa baba wa Mataifa yote

Nakutakia Dominica Njema 😄
 
Watanzania huwa tuna asili ya kuwapenda sana viongozi wetu japo baadhi huutumia upendo huu vibaya kwa kujinufaisha wao binafsi. Viongozi watupende kwanza hasa sisi wananchi wa hali ya chini (wanyonge), wavae viatu vyetu kama alivyokuwa anafanya Hayati JPM, wahangaike kuhakikisha hali ya maisha inakuwa nafuu hasa kwa watu wa hali ya chini, watangulize uzalendo katika suala la kusaini mikataba juu ya raslimali za nchi yetu kwa kuhakikisha inawanufaisha Watanzania wote n.k. Hapo, upendo wetu kwa nchi yetu na viongozi wetu akiwemo Rais, utakuja "automatically".
 
Back
Top Bottom