Sauti saiz fresh japo sio kubwa ila inaridhisha.kuhusu utundu ilikua ukuaji tu saiz nshakua nawaza hela tu kichwaniMmmmh, pole sana mkuu na sauti vipi imerudi kama kawaida?, na utundu umeacha ama bado tu
Lami kitu kingine aisee.sitasahau ile siku kwan sikuacha kuona rangi zote ndani ya mwezi mzima.Lami kitu kingine.
Usiombe ikuchubue.
Mimi Hadi Leo Nina kovu la lami
Lami kitu kingine aisee.sitasahau ile siku kwan sikuacha kuona rangi zote ndani ya mwezi mzima.
Walinipiga xray hawaoni kitu ila mm sijielew elewi yaan inshort nilikua kam 'msukule'
Aisee pole sana rafiki ,Mungu yu mwema wakati wote.Sauti saiz fresh japo sio kubwa ila inaridhisha.kuhusu utundu ilikua ukuaji tu saiz nshakua nawaza hela tu kichwani
Acha mungu aitwe mungu tueti Kama msukule.
Nacheka Kama mazuri vile..
Lami ilichonifanya,,sisahau Hadi Leo..
Ila pole Sana boss
Pole Saint anne, pole sana. Naomba tu kujua, kiuno kimerudiana vizuriMimi kaburi liliniita kabisa.
Kifo kilitaka kunimeza...
Kipindi nasoma tulikuwa na masomo ya jioni ...tukitoka saa8 mchana muda wa lunch ,tunaingia saa 10 ,,hapo kutoka saa12..
Nilikua na utararibu wa kurudi nyumbani kwenda kula chakula ili kupunguza gharama za kula shule.
Pia nyumbani ilikua karibu sana Kama dk 5 tu kwa gari nakuwa nimefika.
Kwa hiyo kwenda na kurudi nilitumia sh300.
Nikawa napumzika then saa 10 kasoro narudi shule.
Ikafika siku yangu..
Kama kawaida yangu..wakati narudi shule niligongwa na gari katika harakati za kuvuka barabara....
Ilitokea gari iliovertake ghafla ikaja kunipiga..nilikuwa naelekea mwisho kabisa ..ilinipiga ikanitoa nje kabisa.
Ilikwapua mguu wangu ,,ikaondoka na soksi...nguo zote chakachaka..na zilikuwa mpya maana ilikua mwanzo wa mwaka tu.
Nilijipiga kichwa chini...nikachika Mdomo,Kuna kipande Cha jino kilikatika na juu ya jicho.
Jamani ajali isikie kwa Mtu..isiwe kwako.
Nilizima pale chini dk chache,,
kulikuwa Kuna gari ya magereza pembeni..wakanibeba wakisaidiana na baadhi ya wanafunzi wenzangu.
Kwenda hospital damu zinanimwagika tu pale...nikapitilizishwa kwenye msaada wa haraka.
Kusafisha vidonda yaani niliona dunia inafika mwisho...Yale maumivu niliyoyapata.
Wakaniuliza km nakumbuka namba za ndugu zangu.
Nimeksriri namba ya mama kuliko nyingine zote..nikataja..
Kumpigia mama anastuka anashangaa.,na mama yangu alikua akiishi wilayani huko,huku nilikua naishi na dada.wakamwambia mwanao yupo hsp ya rufaa...
Mama akampigia dada..dada kupanda gari..akajua niliumia kidogo..akawa anaenda shule..
Haijafika mbali akakuta mama anamwambia eti mtoto Yuko rufaa
Alishuka hakumlipa konda nauli
Kufika pale Niko hoi bin taaban nasubiri kwenda x Ray..wapige kichwa mkono na mguu.
Na kipindi hicho madaktar walikuwa na mgomo,shemeji alikua anafahamiana na mtu wa x-ray..hatukupata shida...
sikulazwa nilirudi home..
Kule wazaz wakafunga safari kuja.
Jamani kuugua vidonda usiombe
Baada ya siku 2 walikuja wale walionigonga..walienda kuuliza shule wakaelekezwa.
Walikuwa bega kwa bega na wazaz Hadi nilipo pona
Ila namba niliisoma vema.
Mwezi mzima sili,sitembei,sioni,siongei.
Kiuno kiliteguka,mguu haufunction,usoni ndio usiseme... nilikua km yule mama kwenye Avatar ya Zero IQ
12.02.2012 hii siku siisahau
Hahahaha..
Duh pole sana mkuu ulikuwa kama msukulehii sasa ilikua funga kazi japo mwanzo wake ilikua kam utan na kwa waliosoma shule ya msingi mbata mbeya mjin watakua wanakumbuka (hasa mtot wa meya wa mbeya enzi izo (meya alikua anaitwa kapunga) ndo alikua msaada kwangu kwan tulikua tunakaa mtaan mmoja uitwao nonde
Ilikua siku ya ijumaa na kwa taratibu za shule waislamu wanaruhusiwa kwenda kuswali na wengine vipindi vinaendelea kam kawaida
Tuendelee
2.Kuna mwalimu alikua mkal san sasa akawa amekuja kupiga biti na akawa anasema "leo adhabu ntakazowapa hamatakuja sahau" kwan kuna makosa tulifanya jana yake (ila sikumbuki ni makosa gan).baada ya hapo akawa ametoka kwenda kutafuta fimbo
Basi bwana ujuaji mwingi + utundu nikaruka dirisha ili nitoroke zangu. Yaan ata sielewi kilitokea nin kwan mpak kesho nashindwa kueleza vizur ila nilipokuja kutua chini nikawa nimekatika ulimi na kubaki kipande kidogo san kinachounganisha (apa niweke sawa, kam ushawahi kata nyama basi unakata alaf hautenganishi kabisa yaan unaacha kipande kimoja cha nyama kiungane na kingine)
Ninachokumbuka kidogo ni kuna kitu chenye ncha kilinichoma kidevuni ila kidg saan na nikajigonga kidevun pia .kutokana na kujigonga meno yakaenda kung'ata ulimi na kuchana kabisa
Wakati kitendo kinatokea kumbe yule mtot wa meya aliniona na alikua mkubwa kidg kwangu ndo kwenda kutoa taarifa om.
Basi nikapelekwa hospital iliopo karibu apo apo inaitwa 'kiwanja mpak' (wenyeji wanaifahm).ila wakasema tatiz ni kubwa nikapelekwa moja kwa moja hospitl ya rufaa ya mbeya. Kila daktari alishangaa imekuaje ila hawakuweza kupata jibu kwan muhusika siwezi kuongea kwa wakati huo.
Kumbuka ulimi umekatika kiasi kwamba nikifumbua mdomo basi lazima ulimi nishike na mikono kwan kipande kilichobaki kimeshikwa na ngozi ndogo san (alaf cha kushangaza sikua nasikia maumivu yoyote yale)...kila daktari akawa ansema wazi wazi ili tatizo kubwa na anaweza akawa bubu kabisa apo mama analia balaa kwan mim ndo jembe lake la kwanza.
Kuna mama mmoja (daktari ) akasema najitolea kumshona ila tuwe tayar kwa chochte kitakachotokea kwan hajwah kutana na kitu kam icho (huwa namshukuru mpak kesho yule daktar). Nikashonwa na kupona kabisa ila effect yake nikawa na saut ndogo saan ukilinganisha na umri wangu.
Nashukuru nimepona kabisa saiz nipo fresh san
Hahaha, kiuno ndio kila kitu mamaHahahaha..
Kilistuka tu ila sikuumia...
Nilishapoa , namshukuru Mungu Sana
Duhh tungekua tunafagilia kaburi mzeee..Niliwahi kuchungulia kisima kipindi natambaa... wakati huo Bi mkubwa karudi kwao mwanza baada ya kugombana na mzee... mimi ndio nina miezi sijui mitatu.. miaka ya 70 huko...
Mama akiwa anasukana nywele kibarazani hana habari mimi natambaa kuelekea kwenye kisima cha maji kirefu kweli kweli...
Mama ananiambia alikurupuka kama mshale alikuja mbio akanidaka mguu huku niko nusu nje nusu ndani ya kisima... akawa anatetemeka huku anapiga kelele za kilio...
Alifanikiwa kunivuta akalia mno! Kesho yake alipanda gari kurudi nyumbani [kwa mumewe] ....
Ningekuwa nimeshakufa zamani!
Tulia mzeemama aya mambo sio mazuri kwa afyaDuh pole sana mkuu ulikuwa kama msukule
Aisee pole sanaMimi kaburi liliniita kabisa.
Kifo kilitaka kunimeza...
Kipindi nasoma tulikuwa na masomo ya jioni ...tukitoka saa8 mchana muda wa lunch ,tunaingia saa 10 ,,hapo kutoka saa12..
Nilikua na utararibu wa kurudi nyumbani kwenda kula chakula ili kupunguza gharama za kula shule.
Pia nyumbani ilikua karibu sana Kama dk 5 tu kwa gari nakuwa nimefika.
Kwa hiyo kwenda na kurudi nilitumia sh300.
Nikawa napumzika then saa 10 kasoro narudi shule.
Ikafika siku yangu..
Kama kawaida yangu..wakati narudi shule niligongwa na gari katika harakati za kuvuka barabara....
Ilitokea gari iliovertake ghafla ikaja kunipiga..nilikuwa naelekea mwisho kabisa ..ilinipiga ikanitoa nje kabisa.
Ilikwapua mguu wangu ,,ikaondoka na soksi...nguo zote chakachaka..na zilikuwa mpya maana ilikua mwanzo wa mwaka tu.
Nilijipiga kichwa chini...nikachika Mdomo,Kuna kipande Cha jino kilikatika na juu ya jicho.
Jamani ajali isikie kwa Mtu..isiwe kwako.
Nilizima pale chini dk chache,,
kulikuwa Kuna gari ya magereza pembeni..wakanibeba wakisaidiana na baadhi ya wanafunzi wenzangu.
Kwenda hospital damu zinanimwagika tu pale...nikapitilizishwa kwenye msaada wa haraka.
Kusafisha vidonda yaani niliona dunia inafika mwisho...Yale maumivu niliyoyapata.
Wakaniuliza km nakumbuka namba za ndugu zangu.
Nimeksriri namba ya mama kuliko nyingine zote..nikataja..
Kumpigia mama anastuka anashangaa.,na mama yangu alikua akiishi wilayani huko,huku nilikua naishi na dada.wakamwambia mwanao yupo hsp ya rufaa...
Mama akampigia dada..dada kupanda gari..akajua niliumia kidogo..akawa anaenda shule..
Haijafika mbali akakuta mama anamwambia eti mtoto Yuko rufaa
Alishuka hakumlipa konda nauli
Kufika pale Niko hoi bin taaban nasubiri kwenda x Ray..wapige kichwa mkono na mguu.
Na kipindi hicho madaktar walikuwa na mgomo,shemeji alikua anafahamiana na mtu wa x-ray..hatukupata shida...
sikulazwa nilirudi home..
Kule wazaz wakafunga safari kuja.
Jamani kuugua vidonda usiombe
Baada ya siku 2 walikuja wale walionigonga..walienda kuuliza shule wakaelekezwa.
Walikuwa bega kwa bega na wazaz Hadi nilipo pona
Ila namba niliisoma vema.
Mwezi mzima sili,sitembei,sioni,siongei.
Kiuno kiliteguka,mguu haufunction,usoni ndio usiseme... nilikua km yule mama kwenye Avatar ya Zero IQ
12.02.2012 hii siku siisahau
Akhsante.Aisee pole sana
Ilikuwaje?Sijawahi kuchungulia kaburi ila niliwahi kumchungulisha kaka yangu kaburi..utoto bwana