Dah....DHW ni kitambo sana ....... nakumbuka vizuri .... ilikuwa chatzone.de ...nilipenda Zaidi Trivia games..tulikuwa na ushindani mkubwa sana na wazee wenzangu wa kijiweni 😀😀😀😀Habari wanajamvi. Kabla ya kuanza kwa mtandao wa JF kulikuwa na mtandao wa DHW ambao member wengi tulihama tukahamia huku
Kama ulikuwepo Enzi zile naomba nyoosha mkono juu
na Almaarufu alikuwa anaitwa Ma2c Enzi hizoNokia83 huyu huyu baba watoto wangu?
Hata Mimi Trivia nilikuwa mdau pigana sana vikumbo na kina Lorenzo, Ccomputer huyu alikuwa anajua majibu yote alafu alikuwa black american anajibu faster mno, Valentinoo, Ggenius Mkuu wewe ndie yule ulijiita Konda?Dah....DHW ni kitambo sana ....... nakumbuka vizuri .... ilikuwa chatzone.de ...nilipenda Zaidi Trivia games..tulikuwa na ushindani mkubwa sana na wazee wenzangu wa kijiweni 😀😀😀😀