Tuliotoka tangu Darhotwire tukutane hapa

Tuliotoka tangu Darhotwire tukutane hapa

kipindi kile kulikuwa huru hata baadhi ya member tulikuwa tunajuana kwa sura
haikufikia kuogopa mitandao kama sasa aise
Watu walikuwa real na life lao hakuna kuogopa kukutana na mtu
Kuna yule dada aliitwa sijui Zuwena dah
 
Nyenzi.com, Youngafricans.com, Jamboforums.com, Jamiiforums.com
 
Habari wanajamvi. Kabla ya kuanza kwa mtandao wa JF kulikuwa na mtandao wa DHW ambao member wengi tulihama tukahamia huku

Kama ulikuwepo Enzi zile naomba nyoosha mkono juu
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
aisee kule ilikuwa balaa, private chat sasa huko ilikuwa ni balaa. Watu waliambukizana HIV kwa sana tu na wengi walifikwa na drama za kufa mtu, wakina SHY, wakina Sadrat, allen, achaar, Kivumoni, night angel alivuma sana na wengine wengi, nakumbuka sana kule.
 
Back
Top Bottom