fergie
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 280
- 127
Ma2culikuwa unaitwa nani?
Ma2culikuwa unaitwa nani?
Mwana fursa weye?Kuna ahmed mmoja alikuwa rafiki yangu kipindi hicho anasoma chuo cha usafirishaji, baadae akaenda nje kusoma...
Mtu nayemkumbuka humu enzi za jambo ni malafyale,maxence na Nokia83 na kuna wadada wawili nmesahau ID zao mmoja alikuwa anafanyakazi pepsiduh sikukumbuki
ha! kumbe ndio wewe,nilijiunga ule mtandao kwa ajili ya kale kapicha kakoDHW niliitwa Batuli
Batuli mambo?DHW niliitwa Batuli
Kwaiyo unataka nini?wengine walikuwa hawajazaliwa!
wewe ni ke au me?Kwaiyo unataka nini?
Mimi Mmoja waooooooooooooHabari wanajamvi. Kabla ya kuanza kwa mtandao wa JF kulikuwa na mtandao wa DHW ambao member wengi tulihama tukahamia huku
Kama ulikuwepo Enzi zile naomba nyoosha mkono juu
ha ha haEnzi ezo wanaume wa humu ndani alikuwa waogo balaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kuna mmoja alinitokea akapanga tuonane pale nyumba ya sanaa kumuona sura yake nilimruka futi 100 kaniuliza wewe ndio petty nikamwambia hapana anasura yenye ukakasi utafikiri kalamba pilipili [emoji16][emoji16]