Tulionyimwa mafao NSSF, tufungue kesi mahakamani

Tulionyimwa mafao NSSF, tufungue kesi mahakamani

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
168
Reaction score
281
Maumivu si mpaka ukatwe na wembe bali ukatili wa NSSF kukataa pesa yako baada ya kuacha sekta binafsi na kujiunga na serikali. Sawa sheria walizoweks nizakinyonyaji kwa mazingira mengine.

Basi kama inashindika wahamishie pesa za mwanachama kwenye mfuko mwingine aliyohamia.

Sekta binafsi wanaumiza sana na siku ukiachana nao angalau upoze majeraha ya mateso lakini bado NSSF kupitia kanuni zao za kinyonyaji wameendelea kushikilia pesa.

Pili wasipotoa pesa basi ziwe zinaongezeka riba kwani wanatumia pesa nyingi kujenga, kukopesha na kuendesha miradi mingi sana.

Wizi wa NSSF NI UKOLONI MAOMBOLEO ingalia tulijua msaada.
d7316922309529db5701f6c2bf63c8b8.jpg
 
No reforms no election'
Ndo itamaliza haya
 
Nijuavyo mimi mfanyakazi akihama Kutoka alipokuwa anafanya kazi akahamia sehemu nyingine aidha ni kampuni binafsi au Serikalini hawezi kupata mafao kwa kuwa ataendelea kuchangiwa michango yake kwa hiyo mtu wangu ndio hivyo hata ukienda uliza utasikia majibu yao
 
Bro Bro Bro sheria ya hifadhi ya jamii haitungwi na hao jamaa unajisumbua tu kuwalalamikia
 
Back
Top Bottom