Tuliokuwa tunamkubali Trump tangu akiwa Rais 2016 - 2020

Trump ni businessman, muda wa kupiga tantalila mara kuvamia huku na kule utapatikana wapi..?

Bidden supporters wanapenda kujimwambafy kwa migogoro na vita za michongo ili kuuonyesha ulimwengu kuwa wao ni ma giant, lakini deep inside hakuna kila kitu
 
Binafsi nilifurahi sana Trump alivyomnyoosha Hilary Clinton 2016.

Na pamoja na kuwa sio mtaalamu wa mambo ya siasa ama chaguzi naamini hata 2020 alimshinda Joe Biden ni vile tu kila mahali/ taasisi ambako Trump alitakiwa kwenda kudai haki yake aidha walikua completely against him ama walihofia sana hatari ambayo 'demokrasia' ya Marekani na system nzima ya uchaguzi ingepata kama Trump angepewa nafasi ya ku prove for the whole world to see uchakachuaji mkubwa uliofanyika kwenye utaratibu wa kura za posta/ mail-in ballots, maana yake Marekani ingewaambia nini watu??

Trump mwaka 2016 alipata kura milioni 62.9 huku Clinton akipata kura milioni 65.8

Jumla ya kura walau kwa hao wawili ilikua milioni 128.7

Mwaka 2020, miaka minne baadae, Trump aliongeza kura milioni 11.3 kutoka 62.9m alizopata 2016 mpaka kura milioni 74.2

Biden maana yake aliongeza kura za Dems by 15.4m kutoka 65.8m alizopata Clinton mpaka 81.2m alizopata yeye.

Wasiwasi wangu mkubwa ni;
i) Ilikuaje ndani ya miaka minne tu wakaongezeka wapiga kura karibu 27m??

ii) Kwa hesabu za kawaida mtu alieongeza kura 11.3m ndani ya miaka 4 which means base ya wapiga kura wake imeongezeka tena sanaa badala ya kupungua, inawezekana vipi ashindwe uchaguzi?? Kama waliomchukia between 2016 na 2020 waliongezeka, si ilitakiwa walau i reflect kwenye matokeo?

iii) Mbona amekua anamshinda Biden kwenye opinion polls tokea siku ya kwanza Biden ameingia ofsini? Hao wanaompenda Biden wapo wapi?

iv) Ni kwanini miaka minne baadae, Trump amegoma kabisa ku concede uchaguzi? Ni vile tu hapendi kushindwa au anajua kabisa ameibiwa kura?

Binafsi mwaka huu tukijaaliwa uzima nataka niangalie idadi ya wapiga kura itaongezeka kwa kiasi gani ili nipate majibu yangu nikilinganisha na no. (i) above.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Maswali yako yanotakana na uelewa finyu pamoja na ukosefu wa kujua takwimu.
Mwaka 2016 waliopiga kura walikuwa milioni 136 kati ya watu milioni 230 waliokuwa na vigezo, watu karibu million 100 hawakwenda kupiga kura kwa sababu walikuwa hawawapendi wote Trump na Hillary pamoja na voter suppression. Mwaka 2020 waliopiga kura walikuwa milioni 159 kati ya milioni 239 waliokuwa na vigezo. Hakuna abracadabra hapo au conspiracy unazofikiria umeweza kung'amua.

Pili, Mwanasheria mkuu wa Marekani aliyeteuliwa na Trump alisema Trump alishindwa uchaguzi, Bunge la seneti lililokiwa likiongozwa na Republicans pamoja na Makamu wa Rais wa Trump ambao ndio walikuwa wanaidhinisha matokeo walisema Trum ameshindwa na mahakama zote hadi mahakama kuu iliyojaa majaji wa Republicans walioteuliwa na Trump walisema Trump ameshindwa. Wanaosema Trump alishinda ni Trump mwenyewe na wafuasi wake waliokunywa maji ya bendera ambao wako tayari kulamba hata kinyesi chake.
 
Trump ni businessman, muda wa kupiga tantalila mara kuvamia huku na kule utapatikana wapi..?

Bidden supporters wanapenda kujimwambafy kwa migogoro na vita za michongo ili kuuonyesha ulimwengu kuwa wao ni ma giant, lakini deep inside hakuna kila kitu
Biden amevamia wapi?
 
Kwa mafano wapi ame finance uvamizi akiwa gizani?


Pitia hiyo thread halafu uje na swali lingine
 


Pitia hiyo thread halafu uje na swali lingine
Sijaona chochote kuhusiana na Biden ku finance uvamizi popote,
 
Maswali yako yanotakana na uelewa finyu pamoja na ukosefu wa kujua takwimu.
Mwaka 2016 waliopiga kura walikuwa milioni 136 kati ya watu milioni 230 waliokuwa na vigezo, watu karibu million 100 hawakwenda kupiga kura kwa sababu walikuwa hawawapendi wote Trump na Hillary pamoja na voter suppression. Mwaka 2020 waliopiga kura walikuwa milioni 159 kati ya milioni 239 waliokuwa na vigezo. Hakuna abracadabra hapo au conspiracy unazofikiria umeweza kung'amua.

Pili, Mwanasheria mkuu wa Marekani aliyeteuliwa na Trump alisema Trump alishindwa uchaguzi, Bunge la seneti lililokiwa likiongozwa na Republicans pamoja na Makamu wa Rais wa Trump ambao ndio walikuwa wanaidhinisha matokeo walisema Trum ameshindwa na mahakama zote hadi mahakama kuu iliyojaa majaji wa Republicans walioteuliwa na Trump walisema Trump ameshindwa. Wanaosema Trump alishinda ni Trump mwenyewe na wafuasi wake waliokunywa maji ya bendera ambao wako tayari kulamba hata kinyesi chake.
Wewe nakujua tokea vita ya Ukraine, hauna maana.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
2016 hadi 2020 ni kipindi ambacho watu wengi sana walikuwa wahanga wa kuziamini habari za kumchafua Mwamba, hasa hapa kwetu Tz ilikuwa rahisi sana kuwa brainwash wabongo, hata humu JF 98% walikuwa brainwashed kumchukia Trump, ni wachache sana tuliusoma mchezo.

Trump ndie raissi mpenda amani, Hakuona shida kwenda North Korea kwa Kim Jong Un kulegeza bifu, na kweli Kim Jong Un hicho kipindi hakurusha makombora kama alivyoanza sasa,

Trump was a no nonsense man lakini alipenda amani, Jeshi lilikuwa active sana na lilikuwa na baketi kubwa mno, Isis ilifutwa haraka mno hakuna mambo ya siasa, Ni kipindi ambacho hata Putin alitulia kwa kumheshimu Trump, Putin kavamia nchi jirani kipindi cha Bush, Obama na sasa kwa Biden ila alitulia kipindi cha Trump. Peace through strength

Aliweka rekodi kubwa sana za kiuchumi ambazo hata obama anakiri hakuweza kudhani zitakuja kuwepo

Aliweka rekodi kubwa sana za ajira

Aliweka rekodi ya kuweza kudhibiti maharamia wasiingie nchini kiholela na waliowahi kuingia kimagendo kuwa deported, Tangu alivyoondoka hadi sasa maharamia milioni 12 wameingia Marekani.
Nasikia leo kashinda jimbo IOWA kwa tofauti ya asilimia 30.Mwamba anaweza akarudi madarakani anafight sana japo anafanyiwa mizengwe mingi.
 
Nasikia leo kashinda jimbo IOWA kwa tofauti ya asilimia 30.Mwamba anaweza akarudi madarakani anafight sana japo anafanyiwa mizengwe mingi.
Anafanyiwa mizengwe na nani?
Ulitaka ichapishwe fomu moja tu ya Urais apewe kama huki ?
 
Back
Top Bottom